Habari JF,
Matokeo yake ya kidato cha sita ni haya
-Economics 'C'
-Geography 'D'
-A/Maths 'E'
Katika kuangaliaangalia kozi mbalimbali nimekutana na kozi tajwa hapo juu na moja wapo ya vyuo...
wakuu pengine hiyo heading haijakaa vizuri lakini kikubwa ni kwamba naomba kujuzwa juu ya maamuzi yangu ya kuchagua course ya agriculture in general ili nikaisome diploma .... nimemaliza form six...
Habar zenu wakuu
Bila kupoteza muda, naomba msaada jinsi ya kufanya confirmation kwa wanafunzi walio chaguliwa kujiunga na vyuo vya elimu na mafunzo ya ufundi niki maanisha walio chaguliwa kutoka...
Salamu. Mwanafunzi kachaguliwa human resource vyuo viwili; mzumbe na NIT. Ushauri a-confirm kipi? Yeye lengo lake ni hiyo HR ila hajui which one is the best between mzumbe and NIT.
kumekuwepo na malumbano siku nyingi kuhusu suala la elimu Tanzania, hususani katika vyuo vikuu. Ifuatayo ni sehemu ya utafiti wangu someni na mtoe maoni. Utafiti wangu ulilenga makundi mawili ya...
Habari za mida hii wakuu! Nna mdogo angu yupo tanga yy afanyakazi km mtendaji wa mtaa wa kata flani huko huko tanga! Anataka aondoke tanga ahamie DSM! Je kwa huko DSM anaweza kupata nafasi ya kazi...
Habari wana jamvi,naomba kupata ufafanuzi kati ya DIT na Udsm wapi wanatoa kozi nzur kwa Civil ambayo vtendo vng kulko theory plz naomben msaada wenu kwa mliosomea kwny ivo vyuo ahsantenj
najaribu kuapply SUA kila nikimaliza na kupress NEXT naletewa "failed to fetch your results from NECTA pls try again later" mpk nimechoka mxaada wen wadau
Naombeni kujuzwa kwa wale wanaofahamu hili tatizo,kwenye kufanya application za chuo inapofika sehemu ya kuweka namba ya mtihani form four na six inaandika no connection to necta try again later...
Habari wana Jamvi!
Nimepata Changamoto katika ku upload picha ya mdhamini mtandaoni. Kila nikijaribu inakataa na picha ina vigezo vyote.
Au ni print fomu hivyo hivyo niibandike kawaida?
Ahsante!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.