Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Salaam alekyum wana JF. Nina tatizo kwenye kujaza form za bodi ya mkopo kila nikiingiza namba ya shule ya Jikomboe Secondary 4535 inasema NO SCHOOL FOUND WITH THIS NUMBER ,,nimejaribu kuwapigia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jaman naomba kuuliza kozi ya bachelor of science in insurence inakipaumbele cha ajira?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Hi, I am eager to get my driving license in Tanzania, however I am 16 years old. The Tanzanian law book says 16 years of age for motorbikes. Even the TRA website says 16 years of age for...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa aliesoma pcb anaweza kuapply engineering ipi DIT? Na BAM kafaulu vizuri
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naomba ufafanuzi juu ya kozi ya Forest
0 Reactions
0 Replies
587 Views
Habar, wana ... Pata scientific calculators kwa order 20 calculators kwa gharama ya 20,000/ tzs 0745718002
0 Reactions
1 Replies
37K Views
jamani naombeni analysis ya Kinjeketile by Ebrahim N hussein unaweza kunitumia kwa email yangu dausond4@gmail.com
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mwalimu aliyesoma Kiingereza anicheki inbox chap,ila awe na matokeo mazuri kuanzia o'level.
0 Reactions
4 Replies
625 Views
Naombaa ushauri kuhusu engineering nzuri za kuapply kwa sasa ? Na mwenye ujuzi juu ya soko Biomedical engineering and aircraft maintenance engineering nchini?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Update: DIRISHA LA BODI YA MIKOPO LIKO WAZI SASA KWA WAKOPAJI WA VYUO VIKUU. Bofya sasa hii link https://olas.heslb.go.tz/index.php/olas/Olas kuingia ndani ya dirisha la mikopo kwa wanafunzi wa...
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Napenda kuuliza na kujua hizi kampuni ya Global na Universities Abroad zinazopeleka wanafunzi nje ya nchi wapo chini ya wizara ipi. Kama ukienda pale na ukalipa pesa lakini ukaona unazungushwa au...
0 Reactions
4 Replies
985 Views
Habari wa jm msada tafadhali kila nikijaribu kuprint na kudownload form inagoma na hatua zooote taar nmehakiki kila hatua akuna makosa ila tu ikifka stage ya kupriview zen kuprint inakataa shida...
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Wakuu nilikuwa namfanyia dogo application UDOM,sasa kwenye zile three choices naona kama wanataka nijaze zote,mimi nataka nimuombe moja tu..nifanyaje hapa wakuu??
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari wana jamii, Mimi nilichaguliwa ktk chuo fulani mwaka Jana but sikuwai kuripoti chuo maisha yakaendelea but now naambiwa jina langu lipo TCU so ctachaguliwa mwaka huu adi nitapofuta hiyo...
0 Reactions
1 Replies
840 Views
Hebu vuta picha,namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule msingi. Umepiga jaramba maili...
6 Reactions
33 Replies
5K Views
Habarini wadau je hii course inayotolewa pale udsm ni sawa na mtu aliyesoma degree ya electrical engineering?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nauliza tu mbna madaraja kwa watumishi mbna kama yametulia wanajamvi wezangu tujuzane jamani
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Aliefanikiwa kufanya application kwa ngaz ya bachelor naomba kujua km alifanya bila shida,Mimi inanisumbua system yao nashindwa ht kulog in ,nikijaribu kujisajiri naambiwa nimeshakuwa registered...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom