Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kuna ndugu yangu kapeleka cheti eti kuhakikiwa, toka mwezi wa tano mpaka sasa, eti matokeo bado! Au huu pia ni urasimu? Yaani kitendo cha kuhakiki tu, ndo miezi miwili? Ama kweli hii ni serikali...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wanafunzi wa mwaka wa kwanza kazi kwenu Na wengine Hp elitepad 900 Laptop ya kisasa yenye uwezo wa kuwa tablet Inakaa na charge mpaka masaa 7 Win 8.1 Ram 2gb Ssd 64gb Bei 300,000/= Karibu...
0 Reactions
2 Replies
996 Views
Wakuu naomba ushauri, Nimepata daraja la III.15 kwa mchepuo wa Physics, Chemestry and Mathematics(PCM). Kwa matokeo haya je naweza kusoma shahada ya Uhandisi? Na kama kuna uwezekano huo, je...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wakuu naombeni msaada kwa mwenye orodha ya waliochaguliwa kujiunga DUCE na MUCE Academic yr 2019/2020. Nimeshindwa kuipata kwenye website zao.
0 Reactions
3 Replies
856 Views
Habari wakuu, Jirani yangu amechaguliwa Ardhi university na IFM,hivyo akawa kwenye list ya wenye mutliple selection. Sasa taratibu zilisema atatumiwa confirmation code kwa njia ya simu au email...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Amesoma EGM na amepata matokeo haya Economics .....D Geography ......D Advanced Mathematics ....F Matokeo ya O-level ni haya Commerce ....C Bookkeeping ...C Mathematics ......C Geography...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Sorry kwa mwenye Uelewa na hostel za dar es salaam zinakuwa na bei gani.... Ambazo Zina facilities zote Sababu vyuo tulivochaguliwa havina hostels.. Regards Merci beacoup
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Vijana wengi kipindi hiki wameomba vyuo na wengine bado wanaendelea kuomba vyuo. Ila cha ajabu wengi wao hawajui lolote kuhusu future yao, yaani wapo wapo tu. Utakuta kijana mpaka anamaliza...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
kati ya IRDP na TENGERU ni kipi chuo bora zaidi kwenye faculty za project wadau naomba mnijuze, sehemu ambapo wapo makini sana kwenye ufundishaji
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani msaada kuhusu kozi ya bachelor in participatory in project planning and management
0 Reactions
7 Replies
1K Views
*LaserJet Printer HP, iko faster xanaa pia bado ipo clean as new.......... Ina FAX, PRINT, COPY, SCAN & WIRELESS PRINT...... inauzwa bei cheee kabxaaa 330k (330,000) *Pia Desktop complete (RAM...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama kuna mtu kaweza kureapply chuo Kikuu cha Utatibu cha Bugando atoe maelekezo aliwezaje ili pengine walioshindwa wapate msaada wa namna ya kufanya Kwa aliyefanikiwa naomba atueleze amewezaje?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi kuna to fauti gani kati ya kozi zifuatazo.... BACHELOR OF SCIENCE IN COMPUTER SCIENCE IN SOFTWARE ENGINEERING NA BACHELOR OF COMPUTER SCIENCE NA IPI KATI YA HIZO NI BORA ZAIDI
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Msaada tafadhali mwanzo niliomba vyuo first round sikubahatika kuchaguliwa nataka kurudia tena second round swali lang nitarudia kulipia tena kwa vyuo ambavyo niliomba mwanzo?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habar👋🏽 zenyu wana JF naomba kupata ufafanuz kuhus hizo kozi hapo kama kichwa cha habar kisemavyo ambazo zinatolewa chuo cha DMI ningependa kujua pia zimekaaje kifursa! maan nalikuwa natak niombe...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Wakuu hii course ikitokea umesomea utaajiriwa kama nani?au utabase katika shughuli gani?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wakuu.... Hivi majina ya waliopata mkopo huwa yanatarajiwa kutoka lini???
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Katika hizi course ukisomea utabase au kuajiriwa ama kujiajiri katika fani zipi?. 1.Bachelor in social work 2.Bachelor in economic development 3.Bachelor in community economic development
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina bwana mdogo amemaliza form six. Nimekuwa nikimsaidia kuapply chuo. MUHAS kwa walioapply chuo siku ya jumapili mliwatoza Tsh 51,000/- na sasa TCU wamewaelekeza kutoza Tsh 10,000/-. Ni vizuri...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
NENDA CHUO , NENDA MDOGO WANGU. Nakupongeza kwa kufaulu kwenda Chuo Kikuu , aya nenda Mdogo wangu. Wanafunzi wengi watapata mkopo , na wewe utapata mdogo wangu nenda. Najua hujawahi kumiliki...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom