Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wana Jf, Kama kichwa cha habari kinavyosomeka,naomba kufahamishwa chuo bora kinachotoa kozi ya Human Resources Management mkoani Shinyanga Asanteni
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Natafuta mwalimu wa kufundisha programming mwenye uwezi wa kufundusha watoto wa kuanzia miaka 9 na kuendelea
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini wana jukwaa, anayekijua hiko chuo naomba anisaidie nijue ada yake katika kozi ya ordinary diploma in optrimetry pia ubora wa chuo upoje
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za asubuhi ndugu zangu? Ningependa niende moja kwa moja kwenye mada ,nina mdogo wangu nilimwombea vyuo kupitia mfumo wa udahili nacte sikukamilisha kuomba yani niliomba course nne nikawa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
HIVI UNAWEZA UKIWA UNASOMA DEGREE YA KWANZA,BAADA YA KUMALIZA MWAKA WA PILI UKAAMUA KUCHUKUA MATOKEO YA MIAKA MIWILI,UKAENDA KUMALIZIA MWAKA WA TATU KATIKA CHUO KINGINE?? Kama inawezekana vigezo...
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Wadau Mimi ni mmoja ya waliopiga foundation programme open Ki ukweli ile mitihan haikuzingatiwa ubora kabisa Unakuta mitihan inatungwa migumu na isitoshe huo mitihan mnafaufanya pamoja na wale...
1 Reactions
49 Replies
7K Views
Wapendwa napenda kumjua ni lini applications za open university kwa mwaka wa masomo 2019 kwa graduate zitaanza Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Jamani kwa wale waliopita na ambao bado wanasoma pale nahitaji experience ya chuo kile masomo na n.k ..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama mada husika inavyo jieleza mimi ni mhitimu wa diploma ya community development kwa sasa nipo tu home kama mwaka. mwaka huu nimependelea kuendelea na elimu ya degree na fursa zaidi naiona iko...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Samahan wakubwa kwa mwenye kujua bei ya kupanga vyumba mwanza SAUTI mana kukaa hostel hawaruhusu kutumia Pasi wala tv sasa nataka kujua bei ya vyumba ni sh.ngap kwa mwaka yaan ghalama ndogo na...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari zenu wanajamvi ,naomba kuuliza kuhusu utaratibu wa kupandishwa madaraja mbona halmashauri zingine walioajiriwa mwaka 2013 wamepandishwa lkn halmashauri yetu bado kuna nini? N.b Mimi nipo...
0 Reactions
6 Replies
873 Views
Wanajamvi kuna ndugu yangu ameniomba nimfanyie application za mkopo na chuo, yeye n muhitimu wa diploma mwaka huu, shida inakuja pale system ya kuomba mkopo inapohitaji aatach cheti ili hali bado...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Kwa miaka miwili tangu wameanza system ya kuomba chuo moja kwa moja TCU baada ya raundu ya kwanza wamekuwa wakitufahamisha wadau udahili unaendeleaje. Kwa mfano wamekosa chuo wanafunzi wangapi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa wale tuliopita enzi izo mnamkumbuka hawa walimu: 1) kabig: huyu alikuwa mkuu wa shule mfupi ni balaa alikuwa anatandika bakora mbaya 2) geta: mzee wa table na mitihani ya ijumaa kimbembe j3...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
duh.. selection loading...🙏
0 Reactions
3 Replies
832 Views
Naomba kuuliza: Hiyo shule hapo juu inapokea wanajeshi watarajiwa au ni wanafunzi wa aina yote/wote. Je ukiwa pale military courses/classes/kwata etc zinakuhusu kama wewe umetoka shule za kawaida?
0 Reactions
40 Replies
13K Views
Na mdogo wangu namfanyia application ya bachelor lakini naona dirisha la usajili umefungwa kwa vyuo vyote, ningependa kujua hakuna nafasi ya usajili wa pili??? naomba msaada hapo.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Niko namfanyia mwanafunzi application hapa ngazi ya diploma katika website ya NACTE Nimekwama hapo kuingiza izo option Yeye kamaliza form 4 tu! Na anataka ajiunge na vyuo vinavyotoa fani ya afya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waliochaguliwa course zote tukutane ili tufahamiane jamani!
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Back
Top Bottom