Chuo cha QBSCL ni chuo chenye usajili wa VETA.Kinafundisha kozi za IT,BOA,NURSERY TEACHER,CLEARING AND FORWADING,HOTEL,n.k KIINGEREZA UTAFUNDISHWA BURE.Hostel zipo na Chuo kipo Dar es...
JE ET NI KWEL KUWA UKITAKA KUSOMA PHARMASI NGAZI YA DIPLOMA LAZMA USOME VYUO VYA BINAFSI KWA MAANA YA KUWA HAKUNA VYUO VYA SERIKALI VINAVYOFUNDISHA PHARMASIA NGAZI YA DIPLOMA
1. Wazo lililokujia kwanza baada ya kusoma kichwa cha habari hiki (cha kufikirika) ni: utapataje Masters bila kupitia Form Four?
NDIYO
HAPANA
2. Mtoto anazaliwa mjinga. Anapopelekwa Day Care au...
Habar zenu wakuu
Naomba kufahamishwa kuhusu notes za mgote zipo katka mfumo gan?? Na bei yake maana tulio mikoani tumekua 2kisikia 2 kua n notes nzur
Msaada wenu wakuu
Kuna mtu ameweza kupata majibu au kusign in kupitia rita portal akapata majibu?????maana mimi nimewachoka kila siku wananiandikia incorrect username or password
Jee kama umefanikiwa umefanyaje?
Habari zenu wasomi na walimu wote kwa ujumla. Ninazo nafasi za kazi ya ualimu kama ifuatavyo
1.History (1) Advanced Level
2.Physics (2) Advanced Level
3.Kiswahili (1) Advanced Level
4. Geography...
Shikamooni wakubwa zangu.
Mimi ni kijana wa miaka kumi na tisa msingi kidato cha 6 mwaka huu mchepuo wa pcm.Iwapo kama mtihani wa kidato cha 5 ungekuwa ni necta basi mi ningesha jipatia div 3...
Habarini wana jf, nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne 2016, na matokeo yake yalikua hivi...............physics D, chemistry C, biology C, geography C, English C,civics C, kiswahili C,history...
Habarin...napenda kuuliza ili uweze soma CCNA course unatakiwa uwe unalevel gan kielim mfano ata mtu anaeanza degree ya IT mwaka wa pili anaweza anza kusoma na pia n garama gan masomo pampja na...
Kwa yoyote anae jua jinsi ya kuandika project Proposal atufahamishe mpangilio wake unatakiwa kuwaje (Content)
Proposal Hii nikwaajili ya kuomba sponser ya Government katika project hii.
Sent...
Habari zenu,naomba kujuzwa kwa yeyote anae jua kuhusu udahili wa ualimu kwa ngazi ya cheti kwa mwaka wa masomo 2019/2020,coz naona kimya na cjaona taarifa yoyote ihusuyo na udahili ualimu kwa...
The Konrad- Adenauer -Stiftung (KAS) is offering fully funded Masters of journalism for Media Africa journalists for academic year 2020. The scholarship will offer the following; University...
Habari?
Nina mtoto wa kike F1 namhamisha toka Mtwara nikae nae hapa Dar , kati ya shule hizo mbili nimpeleke ipi?
Ada nimeuliza najua ila waliosoma hizo shule tupeni mazuri na mabaya, nasikia...
Wakuu
Sio wote humu ni wazoefu wa vyuo na kozi mbalimbali zitplewazo vyuoni..Wengi wanasikia tu BACHELOR OF BUSSNESS ADMINSTRATION lakini hajui kozi hiyo inahusu nini/ina maana gani.
Au ukimaliza...
Wakuu naomb kuulza Nina mdgo Wang amesomea diplom in sec chemistry & biology je anwez fundsha English medium n kuendna n syllabus n je n zip changmoto anazo weza kutana nazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.