Habari wadau wa elimu
Inasemekana kuwa malengo ya serikali(TAMISEMI) Mwaka huu ni kuwa ufaulu darasa la saba uwe asilimia 82 na ufaulu darasa la nne uwe ni asilimia 100. Sikatai ni mipango mizuri...
Habari wakuu! Naombeni msaada Nina ndugu yangu anataka kwenda kusoma course ya information technology(IT)ngazi ya degree.yeye in muhitimu wa kidato cha 6 mchepuo wa HGL lakini o _level mathematics...
Naomba kujuzwa jamani Nina rafiki yangu amepangiwa shule EGM lengo lake ni kusoma CBG lkn hyo CBG haipo kwenye shule aliochaguliwa kwa hyo anahama xhule ili abadili comb nataka kujuzwa hii...
Habarini za wakat wakuu,Naamin sote tu wazima kwa wale mliokutana na changamoto za hapa na pale poleni.
Nijikite kwenye mada,Naomba kupata ufafanuzi kwa wale wajuzi au hata kama una idea na hili...
Bachelor of business administration
1. in management
2.In account
3.In market
4.In office administration and human resources management
Pia ipi ni nyepesi kwa kusoma isiyo na mahesabu mengi
habarini bandugu
nina dogo langu amechaguliwa ifm kozi insurance and social protection
kwa wanafunzi wanaochaguliwa moja kwa moja na serikali wanapata full sponsorship ama ni vipi na je akitaka...
Mambo vipi wadau
Niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba kufahamishwa shule inayotoa malezi na elimu nzuri kwa watoto hapa Arusha ambayo angalau nitaweza afford kulingana na kipato changu...
Habari wakuu,
Kuna mdogo wangu amefanya first degree ya nursing (GPA 3.6),halafu akafanya masters ya public health (haijawekwa kwa GPA, just grade ya kila somo), na PhD ya reproductive health...
Wakuu kuna yeyote mwenye kujua zoezi la kusajili vijana wanaotaka kuiunga na jeshi la kujenga taifa kwa kujitolea 2019/20 limemalizika mikoa yote au bado kuna mikoa na wilaya inaendelea na usajili?
Habari wadau wa JF.
Kwa wale wenye watoto au ambao wanatarajia kwenda kidato cha tano mwezi July Nina vitabu vifuatavyo;-
1. Principle of physics for class Xi by S.chands
2;- Nelkon physics
3;-...
Kuna dogo kapata four ya 32 sasa anatafta chuo cha maendeleo ya jamii kwa hzo gred kipo kweli,?,kama kitapatikana naomba msaada maana mama yake anahangaika kwel
Ni lazima tukiri kwamba UDSM Ni chuo chenye historia kubwa ambayo imekipatia heshima chuo hiki mbali na historia kuilinda hadhi na heshima huleta maana ya historia UDSM wameshindwa kumudu kuilinda...
jamani nisaidie nina mdog wangu kahitimu form four mwaka huu kapata D-4 ana C-kiswahili na D-english anataka aende chuo aende chuo kipi na asomee kombi ipi ambayo itakuwa rahis kupata ajira
Habar zenu wana jf,naomba kuelimishwa juu ya hyo mada hapo juu,mm nilishawah kurist mthan wa kdato cha nne mwka 2016 kwa lengo la kutaft credit(C) mbili za kuendlea na advance,Nashkuru mungu hzo C...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.