Wadau kwa anaezijua joinin instruction handen high school msaada pleas kama utaambatanisha na photo ya shule au sare za shule itakuwa poa zaid. Natanguliza shukran.
NDUGU mwnfz kama umechaguliwa shule ya usagara-tanga na hujui ufanyeje
Au NDUGUYO au huna maelezo zaid tafadhali nitafute kwa 0716361203
Lengo ni kusaidiana Wenda ndo Mara ya kwanz kusikia tanga...
Msaada jinsi ya kujiunga na chuo cha afya lugalo yan kupata fomu ya kujiunga bila kufanya application online au kama kuna yeyote anasoma hapo naomba msaada wake
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Shule ya Sekondari Bagamoyo
Simu ya mezani: 255 23 244 021...
Wadau wa Jamii forum natumai m-wazima wa afya ..
Nadhani nafahamika na wengi humu JF ambao hamnifahamu naitwa Sodoka.
Kuna mtoto wa kaka yangu amechaguliwa UDSM Bachelor of science in...
Nijuavyo Chuo kikuu cha Milimani ndio chuo bora zaidi katika TANZANIA.
Na PRO Kabudi ni katika wahadhari wa muda mrefu katika chuo hicho kauliyake ya kwamba alikua Jalalani (UDSM) mumeipokeaje...
UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA VIJANA KWA MUJIBU WA SHERIA WANAOMALIZA KIDATO CHA SITA MEI 2014.
AWAMU YA KWANZA; Vijana 20,000 wataripoti kwenye makambi ya mafunzo ya JKT...
Wakuu bila shaka wote wazima pande hizi!
Niende kwenye mada, Hivi mtu aliyepata division four ya point 26 anaweza kusomea nini maana hajachaguliwa popote??
Msaada tafadhali!
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima naomba kwa anaye fahamu shule za private za advance zenye ada chini ya million 2 zilizopo Dar es salaam.
Kama mkiniambia Na ada zake itakua vizuri...
Nina ndugu yangu alihitimu kidato cha nne mwaka jana na kufanikiwa kufaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza(1.17),ambapo amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga kidato cha tano katika(Combonation ya...
Kwa ndugu zangu waliochaguliwa kidato cha Tano, usihangaike kujua nini kinahitajika shule uliyopangiwa, it's just a simple thing, fungua hiyo link hapo chini.
***Best Wishes Brothers & Sisters**...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.