Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari zenyu!! Bila kupoteza time mimi ni merchant materials za masomo ya physics chemistry na biology. Pia nauza dissection kit kwa bei nafuu ipo moja tu wahi haraka. Muda wa mauzo ni kuanzia...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Disecting kit ya operation inauzwa 0683105864
0 Reactions
2 Replies
660 Views
Mwenye vitabu via Literature in English yaani novels and plays anisaidie
0 Reactions
2 Replies
862 Views
Wakuu shkamoon Nna grade hizi Nmepangiwa umbwe boys high school combi ya ECA Ktk post zilizotoka ila ningependa kwenda HGL je inawezekan? Na kama inawezekan, process ziko vipi?? Asanten
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Je Kuna PhD courses pale Mzumbe University? Na kama zipo ni zipi? Mode of study ikoje. Kwenye website yao hakuna lolote la kusaidia. Anayefahamu anijuze tafadhali
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana-Jf Naomba kufahamu hili tatizo Ni Mimi tu muhanga au Wenzangu pia? Kuna mtu nataka kumfanyia "application" Nacte amemaliza kidato Cha nne mwakajana Sasa kila nikiingia Nacte napata...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Vitabu vya muhimu na bei zake kwa kombi ya PCB
2 Reactions
101 Replies
21K Views
Wakuu, Mwenye namba ya simu ya mkuu wa hii shule ya Longido High School naiomba. Najua kwenye joining instructions zinakuwepo. Kama kuna mwenye joining instructions ya Longido naomba acheki...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wazazi na wanafunzi waliokuwa wanaulizia kuhusu joining instructions za kidato cha tano 2019 zimetoka na zinapatikana kwenye website ya tamisemi.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanaJf,Naomba kuuliza wataalam wa IT kuhusiana na hii kozi inayoitwa database administration professional,Je kozi hii ikoje katika soko la ajira/kujiajiri?Kwa kijana aliyemaliza kidato cha...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Wasaalam, Ninatafuta Syllabus ya Qualifying Test(QT) na Kitini Chake Kinachoonesha Mtiririko wa Masomo Yasomwayo! Naomba Mwenye Navyo,Iwe Softcopy au Hardcopy,Nitashukuru Nikisaidiwa! Natanguliza...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Eti wadau ni hatua gani zamuhimu zakufata ili kupata uhamisho maana kuna ndugu yangu kapangiwa malagalasi sec sasa anahitaji ahamie longido sec nihatua gani azifate ili apate uhamisho fasta hapo
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Shule ya NYANTAKARA iliyopo mkoa kagera wilaya Biharamulo. Salaam wana jf wote popote mlipo. Nipo mkoa wa pwani naomba kwa yeyote anayeufahamu mawasiliano ya shule tajwa hapo anisaidie kupata...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu, samahani kwa usumbufu Mdogo wangu kafaulu vizuri physics 'c' chemistry 'B' na biology 'B' bahati mbaya amepangiwa comb ya CBG tena kwenye shule ambayo haina PCB ambayo ndio ndoto yake Kwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nimepata bahati mbaya Kwenye UE nimedakwa na kibomu na kuitwa offic. Nimedisko nipeni ushauri.. Usitukane.. Ni bahati mbaya. Asante
3 Reactions
105 Replies
9K Views
Habari wana jukwaa, jamani kwa hapa Dar wapi wanafundisha tuition vizuri pre form five, Nina dogo kapangwa kwenda five baada ya hizi selection wakati aliomba vyuo, msaada wenu please
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Classify bacteria on basis of morphology and staining properties Msaada wenu wana biologia
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Natafuta shule za private zenye gharama chini ya mil 2 matokeo yangu kama ya fuatayo CHEM C BIOS B GEO C PHY D MATH F MENGINE YOTE NI C. Natafuta shule ya private ya chini ya mil 2 nataka kusomea...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
An aircraft flies with it's wings banked at 35° to the vertical in order to fly in a horizontal circle of radius "r" if the aircraft has mass 4×10^4 kg and constants speed of 250m/s. The two...
0 Reactions
10 Replies
884 Views
Back
Top Bottom