Sorry naomba kueleweshwa kidogo juu ya suala la ku-apply mkopo, swali langu liko kwa upande wa wale ambayo wanahitimu diploma mwaka huu je wanafanya kufanya loan application kabla matokeo yao ya...
Ili moto uwake lazima kuwepo na walau vitu vifuatavyo hewa, joto na fueli. Ikumbukwe kwamba fueli ni maada yoyote inayoweza kusapoti moto kuwaka kwa mfano karatasi kuni mkaa ama mafuta
Aidha moto...
Samahani jamanii msaada naomba mniangalizie matokeo ya kidato cha nne namba ya shule S.5019 na wengine ulizeni kwenye hii thread wapo wataalamu watatupa majibu.
========
Karibuni tushauriane...
Habari ya majukumu great thinkers.
Pass marks zangu ni biology C. chemistry C. Phy F. MATH F. HISTORY D. NA MASOMO MENGINE NINA C FLAT.
JE NAWEZA OMBA KADA GANI YA AFYA KWA PASSMARKS HIZO...
Kwa unayemaliza/Uliyemaliza Kidato cha NNE/SITA, Pitia njia rahisi KUSOMA UHASIBU, usihangaike kama tulivyohangaika sisi kwa kukosa taarifa sahihi.. Fanya maamuzi sahihi sasa..
KWA MAELEZO ZAIDI...
wakuu nakusanya material ya kidato cha tano na sita kwa ajili ya mdogo angu aliepangiwa kusoma combination ya PCB
kama kuna mtu anaeza nisaidia juu ya hili anipm tuone tunafanikishaje hili...
Naomba sana kuelemishwa juu ya uchaguzi wa Vijana wetu kuingia kidato cha tano. Mimi kijana wangu alipata daraja la kwanza ya pointi 9. Hii ina maana alipata A7, B1 na C1 lakini cha kushangaza...
Baada ya kutoka selection za Kwenda form five naona vijana wengi wametupwa College wakapige Diploma badala ya Kwenda A level... Sikatai ni Jambo zuri kama mnavyodai kuwa mwenye Diploma anakuwa...
Kwanza nianze kwa kuwatakia sikukuu njema ndugu zetu wa islam,
mafanikio ni ndoto ya kila mtu aliye duniani,japo mafanikio yamekuwa ni magumu kwa wengi kulingana na tamaduni,mazoea,sera za...
Nimepangiwa chuo cha ualimu kigoma stashada ya ualimu wa fizikia na biologia . Sasa naomba ushauri nfanyaje jameni na mi mipango yangu ilikuwa ni kwenda advance nikasome pcb
Wakuu hongereni kwa sikukuu ya Eid.
Husika na kichwa cha habari hapo juu chahusika. Naombeni msaada sana wa kufahamu chochote kuhusu chuo tajwa hapo juu.
Nina ndugu kijijini kachaguliwa hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.