Wakuu mimi nmepangiwa kifaru secondary school IPO moshi sasa wakati natafuta joining instruction nmekuta ya 2017 vp naweza kuitumia au kama mwenye nayo ya 2019 naomba anisaidie wakuu
[emoji344][emoji344][emoji344] *MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE WALICHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2019/2010*
[emoji778] *PATA JOINING INSTRUCTIONS ZA SHULE ZOTE KIDATO CHA TANO 2019/2020*...
Salaam wakuu...
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, nataka kufanya mtihani wa kidato cha sita combination ya HKL kama mtahiniwa wa kujitegemea, lakini sijui kama bado inaruhusiwa kama zamani au...
Wanaitwa YUNA TZ jumuiya ya vijana wa umoja wa mataifa, wametoa nafasi za kujiunga na jumuiya hiyo kwa wanafunzi mbalimbali wa vyuo kwa mwaka 2019/20.
Kwa ufupi tu hii ni kama ''UVCCM'' ya Umoja...
Mambo vipi Wadau
Nimemaliza Bachelor of Science Economics
But sina ndoto za kufanya kazi kwahivisasa hivyo
Naomba kujua ni Masters gani yenye labor-market kubwa zaid hasa hizi za Social...
Kuna tatizo katika swala zima la shule za watoto wetu Nini shida hasa miaka 50 naushehe tunashindwa kujenga shule??
Nashukuru sasa hivi serikali ya Awamu ya Tano imelivalia njuga na inajitahidi...
Habar wakuu
Nashukuru mungu nmepata nlicho muomba nmepangiwa comb ya pcm sasa nilikua naomba mnipe mbinu za kufaulu comb hii acha na ya kupiga msuri iyo nimeshajiandaa
Napenda nijue natakiwa niwe...
kwanza kabisa napenda kutanguliza shukrani kwa wana jf kutokana na jinsi ninavyo nufaika,hasa pale ninapotaka msaada.
kiukweli kwa sasa vijana wengi hasa wanao maliza la saba na form four...
Wandugu ninadogo amechaguliwa huko nataka kujua utaratabu endapo ukichaguliwa na serkali moja KWA moja hasa hasa ktk gharama au kiushauri naweza kughairi ili nimpeleke kidato cha tano??
Kama Mtanzania yeyote, na Muafrika yeyote ambae anafuatilia habari mbalimbali , Nimejikuta sijapitwa na hizi habari na mijadala inayoendelea kuwa Namba moja ameshindwa kuzungumza lugha ya...
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima.
Nina mdogo wangu amepata division 3 ya 24 anataka kusoma HGL kwenye combination ana CDD.
Shule gani itamfaa ya private yenye ada ya million 2 au...
Kuna Mtu kachaguliwa kujiunga na chuo "Certificate in microfinance management" Anauliza inahusu nini (i.e baada ya kusoma unaweza fanya kazini gani...au kujiajiri wapi au kuajiriwa kama nani?)...
Wadau mm nnahitaji ku aply kozi ya masters pale ud na udom lkn nnapata changamoto kati ya hizi kozi nitakazo zitaja ipi ina advantage ya kupata nafasi zaid pindi nikihitimu 1.masters of edu...
Habari wadau, naomba msaada kwa anaesomea chuo cha ualimu Rukwa au aliyewahi kuhitimu mafunzo ya ualimu grade A pale, nahitaji kujua gharama yake ya ada kwa mwaka huu 2014/2015 nahitaji kujiunga...
Jana mchana ninepigiwa simu na ndgu yangu ambae amemaliza kidato Cha sita hivi majuzi, amerudi kijijini kwa Wazazi wake baada ya kumaliza masomo yake ya advance. Alipigia kuniomba nimsaidie Tsh...
Nawasikitikia wanao maliza form 4 miaka hii, yaani ni taabu tu.
Kwanza hizo fomu ambazo huwa wanawapa wachugue shule za kidato cha 5 za nini? Wanawapa watoto fomu za kuchagua michepuo na shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.