Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Twende kazi sasa , mnaojiita vipanga wa hapa mnaukimbia uzi huu hatari
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Je ni masomo gan ukifaulu ndo unaweza soma course ya Ado?
0 Reactions
0 Replies
710 Views
iv karibuni nacte walifungua maombi kwa ngazi ya astashaada na stashahada ktk muongozo wao wamesema wanafunzi anaweza kuomba moja kwa moja chuoni yaani atasajiliwa na chuo ktk mfumo uitwao...
1 Reactions
0 Replies
938 Views
habari ya mchana ndugu zangu, kama mnavojua elimu yetu imegubikwa na changamoto nyingi sana hasa kumwezesha mtoto wa masikini kupata elimu hasa ya masters katika umri reasonable. mfano, loan...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari ya mchana ndugu zangu, samahani maana naweza kuwa niko nje ya siasa lakin najua huku tumejaza great thinkers wanaweza nisaidia uelewa na uzi ukapita. kama mnavojua elimu yetu imegubikwa na...
0 Reactions
0 Replies
620 Views
MAY PEACE AND BLESSINGS OF THE ALMIGHTY ALLAH BE UPON YOU. LET'S RETHINK AGAIN I MUST ASK, are we preparing students for the future or the past? because we are teaching students with different...
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Wakuu kwema,naweza kuwa nimeweka kwenye forum isiyo sahihi sana lakini mtaniwia radhi.Nina jamaa yangu alikuwa anasoma chuo cha SAUT,akiwa mwaka wa mwisho alipata carry ya masoma mawili,kabla ya...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Naomba kuuliza wadau...laon board washaruhusu kuapply???
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini waungwana na poleni na majukumu ya hapa na pale, naomba mnielekeze jinsi ya kutumia Kadi ya Bank ya Mwalimu, kwenye ATM za Umoja!
0 Reactions
0 Replies
650 Views
For starters, mimi nilikua T.O olevo miaka ya 2000s, sitaki kuweka exact year ili nisireveal identity yangu.
4 Reactions
25 Replies
4K Views
Naomba kujua kuhusiana na chuo hichi kwa maana nilipewa namba zao nikawapigia hawapoki nikawatext hawajajibu sasa naomba msaada kwa anaye soma hapo au anaye jua namba zao zingine ani saidie mimi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeangalia NACTE na kukuta kozi za afya mwaha huu 2019/2020 diploma/certificate Muhimbili sioni application ya kozi hizo kwenye guide book ya NACTE 2019/2020. Mwenye taarifa anijuze please
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Habari wakuu, kwa wataalamu wa madini au wenye ufahamu na madini haya, msaada wenu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
When we reference works in our own writing, we are engaging in a good and ethical academic practice. Our quality of writing and our ability to reference, tend to become a representation, of how we...
0 Reactions
1 Replies
806 Views
wakuu ni chuo gani bora kwenye kozi ya procurement? msaada
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Samahano jamani mi nimefaulu kidato cha nne kwa division 3 ya point 22(kwanza) Math -d Eng-c Chem-c Hist-d Kisw-c Civ-c Phy-c Bio-c Sasa wakubwa nlikuwa nauliza nitapata shule serikalini
0 Reactions
10 Replies
2K Views
HIV/AIDS has become the giant killer in Africa societies'' Varify this statement by using one novel you have read
0 Reactions
2 Replies
698 Views
Usisahau cheti original na living certificate original ila kama huna living njoo na kitambulisho cha shule ni muhimu sana mana maafande wamechafuka roho. Karibuni!
0 Reactions
33 Replies
8K Views
Back
Top Bottom