Website ya Nacte imefungua dirisha la maombi ya kozi mbalimbali kwa vyuo vyake. Wanaoomba ni vijana wa Form 4 ambao, leo baadhi Tamisemi imewapangia vyuo . Hapa inahitajika ufafanuzi kuwa;
1. Je...
Ndugu zangu napenda kuuliza, hivi kwa wale form six wanaochaguliwa JKT kwa awamu ya pili..wakati muda wakujiunga vyuoni umefika...huwa kuna utaratibu gani wakuendelea na mafunzo hayo baada...
Tamisemi wametoa majina ya watoto walio dahiliwa kidato cha tano na vyuo mbalimbali. Majina yako kwa PDF lakini hayapo katika mpangilio na hauwezi kutafuta jina mojamoja kurasa ziko 5934 sasa...
Jumla ya wanafunzi 108,644 sawa na asilimia 98.31 ya wanafunzi wote wenye sifa wamechaguliwa kujiunga na kidato cha Tano,Vyuo vya Elimu ya Ufundi na vyuo vingine vinavyosimamiwa na Baraza la...
NAOMBA KUELEWESHWA TOFAUTI KATI YA KOZI HIZI MBILI:
ORDINARY DIPLOMA IN CLINICAL MEDICINE NA ORDINARY DIPLOMA IN NURSING AND MIDWIFE
JE, IPI NI NZURI ZAIDI, HATA UTAKAPO TAKA KUCHUKUA BACHELOR...
Wadau mm nnahitaji ku aply kozi ya masters pale ud na udom lkn nnapata changamoto kati ya hizi kozi nitakazo zitaja ipi ina advantage ya kupata nafasi zaid pindi nikihitimu 1.masters of edu...
"Cha Mkufuu, Mwanafuu Ha, Na Akila Huu,
Cha Mwanafuu, Mkufuu Hu, Na Akila Ha"
#Kiswahili #SwahiliCoast #Methali #TungoTata
"Mwanafunzi Hawezi Kula cha Mwalimu na Akila Hufa, Ila Mwalimu Anaweza...
NJIA RAHISI YA KUWA MHASIBU BILA KUZUNGUKIA ADVANCED LEVEL.
Nimeona watu wengi sana wanaulizia hii Kitu. Nikaona nidadavue kidogo ili wapate uelewa..
Endelea Kusoma hapa: KWA WATAKAOHITAJI kujua...
Wakuu...nimepitia utaratibu wa kuhakiki cheti RITA ila kuna kitu kinanichanganya kuhusu kutuma hicho cheti cha kuzaliwa na hiyo risiti
Ni kwamba hicho cheti cha kuzaliwa ninaenda stationery...
Habari wakuu
Nlikua naomba kujua anything kuhusiana na kozi ya cadeth(officer) inayotolewa kule monduli yani interms of wapi nafasi au fomu zinapotolewa.inachukua muda gani wakati ukiwa kambini...
Mm nimuhitimu form six niliopangiwa mafunzo ya kijeshi Kwa mujibu wa sheria jkt lakini kambi hiyo Ipo mbali na ninapoishi hivyo natakakujua jinsi ntakavyobadili kambi .asanteni
Dear All STEP AHEAD FINANCIAL CONSULTANT inawaletea training ya Advanced Excel inayofanyika dodoma kesho 01.06.2019 na pia tunaweza wafanyia training kwa maofisi yatakayo hitaji minimum in group...
Mary K Baxter - A divine revelation of hell
Education is key
Information is Power
NB: This work is dedicated to the glory of God the Father, God the Son and God the Holy Spirit, Without Whom...
Habari za Wakati Ndg Wadau wa JF
Mdogo wangu anaufaulu wa Division 4 point 28 ... Ni Chuo gani hapa Anaweza kusoma Kwa alama hizi katika Masomo yake
Civics D
History D
English C
Kiswahili C...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.