Naomba kujulishwa Nafasi za masomo ya ualimu ngazi ya astashahada na cheti kama tayari zimeshatangazwa au la.Na kama bado, Ni lini mlango utafunguliwa wa kuanza kufanya maombi ya nafasi hizo.
Ni muitimu wa kidato Cha nne 2018,,
Ufauru wangu ni CBA kweny PCB kwa huwo mfuatano,,Ila Niko njia panda wap niende ,kati ya diploma ya kozi za afya au nikasome PCB advance ,,ila shida iko kwenye...
Good news for Electrical Engineering students taking diploma/undergraduate degree/postgraduate degree courses. You can now access High Voltage Engineering revision questions online. The questions...
Japo ni chuo kikubwa na cha kisasa mno barani Afrika chuo hiki kinadharaulika mno kitaaluma. Kuna tangazo moja la kazi lilikuwa linasema kwamba.., kigezo moja wapo ili mtu aweze kupata hiyo ajira...
Habari wadau mimi Nimehitimu kidato cha 6 mwaka 2018 Mchepuo wa H.G.L Ufaulu wangu wa kawaida sana Nina 12 yenye "D" flat Mwaka jana nilibahatika kuchaguliwa pale Udsm course ya philosophy and...
Kwa wenye uelewa juu ya ishu ya kuhama mfanyakaz pasipo mshahara kuhamishwa baina ya halmashaur nje ya mkoa.Nini athari zake katika upatikanaji wa haki za kiutumishi katika halmashauri mpya na je...
Naomba ushauri wenu Kati ya ardhi na sheria ni sector gani yenye ajira na kitengo kipi Cha ardhi chenye ajira. Please naomba ushauri wenu[emoji120][emoji120]
Wadau kwanza hongereni kwa kuchaguliwa.
Kwa wale mnaoendlea kuapply nawatakia kila la kheri mfanikiwe. Na wale tuliochagulia certificate/ diploma kozi za afya, pamoja na wale ambao mlishawahi...
Kikwazo kikubwa ni hii kozi. Lengo nataka nichukue shahada ya civil engineering. Hivi kozi hii inapatikana chuo hiki?
1.Maana wengine wanasena ipo, na wengine wanasema haipo.
2.Ingawa nikiangalia...
Tafadhali mwenye kujua namna ya kuomba kujiunga na masomo ya diploma au certificate kwenye vyuo vya kilimo anisaidie. Tatizo havina websites na vyenye websites hakuna mode of application.
Msaada...
Mimi ni mwanafunzi nasoma medical laboratory science katika chuo kikuu cha ruaha catholic(rucu)
Naomba mtu wa kunifadhili masomo
0769395606
0621004002
Ata ushauri ni Masada kwangu
Kwa wanaotaka kujifunza zaidi ya online kupitia YouTube channel yangu ya Director chuma mnaweza kujiunga na chuo ninachofundisha bagamoyo kwa sasa
karibuni sana
Walimu wa Tanzania ni kada inayodharauliwa sana,walimu wanaamini kuwa mchawi wa mwalimu ni mwalimu,ikimaanisha kuwa mwalimu akiwa kiongozi,huwa anawakandamiza walimu kimaslahi hata kuwa dharau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.