Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Picha hii imerushwa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram na mwandishi wa vitabu na makala mbalimbali hapa nchini ndugu Erick Shigongo. Ikiwa inaonesha mazingira magumu ya watoto hawa ambao...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Niliona tangazo la mofcom scholarship 2019 na vigezo vyao ilikuwa haioneshi kama ni mpaka uwe mtumishi uliyeajiliwa na serikali. Nimefanya application online na kuprint hardcopy ili kupeleka...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kwa yoyote anayeuza 'material' ya sekondari kwa masomo ya Physics, Chemistry na Biology anitumie ujumbe(PM) Nakusanya material kwa ajili ya mdogo angu anategemea kuingia kidato cha tano...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari zenu watanzania Mimi ni mhitimu wa stashahada ya ualimu wa secondari kwa masomo ya Fizikia na Hisabati Kama kuna shule inahitaji mwalimu wa masomo hayo tuwasiliane.. +255620450069 Ahsanteni.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natanguliza salam kwa kila member. Hii thread itahusisha carriers ambazo zina soko la ajira hapa Tanzania pia watu ambao wapo katika hiyo field ni wachache na wanahitajika kwa miaka ya sasa pia...
2 Reactions
77 Replies
15K Views
Habari za muda wakuu naombeni msaada kila niki log in kwenye profile yangu nacte wananiambia no user name and...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina four ya 31 na ninahitaji kusoma I.T he itawezekana wapendwa naombeni ushauri wenu jameni na chuo kipi nisome.
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Nionavyo hili limekuwa tatizo kwa Wizara inayohusika. Wanachelewa kutoa majina ya Shule na Vyuo wanakowapeleka wanafunzi wa Kidato cha Nne. Kuchelewa huku husababisha adha kubwa kwa wanafunzi na...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Nina four ya 28 nimepata alama kama ifuatavyo Kiswahili C English D History D Geography D Bible C civics F Literature F Je niende chuo gani au nisomee course gani ndugu zangu nisaidieni nipo dar...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauliza course ya GEOMATICS ina ajira na inahusika na nn?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
🎓NAFASI ZA SCHOLARSHIPS KWA VIJANA WA AFRICA(TANZANIA) KUTOKA MASTERCARD FOUNDATION. 📌WANAHITAJIKA WENYE KUSOMEA FACULTIES HIZI HAPA CHINI:- ▪Faculty of Economic and Management Sciences ▪Faculty...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wakuu!! kwa yeyote aliesoma mzumbe university(main campus)husasani aliesoma bachelor of health systems management.naomba ufafanuzi juu ya faculty hii.qualifications zake,strength and its...
0 Reactions
0 Replies
440 Views
Habarini wakuu!! kwa yeyote aliesoma mzumbe university(main campus)husasani aliesoma bachelor of health systems management.naomba ufafanuzi juu ya faculty hii.qualifications zake,strength and its...
0 Reactions
0 Replies
408 Views
Wakuu nauliza hapo ni ipi masters nzuri yenye fursa na upana katika fursa kwa taasisi binafsi na zile za umma kati ya Masters of arts in Public administration (UDSM) au masters of Human resource...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Nina mdogo wangu anataka kuomba Bachelor degree mwaka huu wa masomo 2019/2020. Malengo yake baada ya kuhitimu shahada yake sio kuajiriwa ni ajiajiri je? Kati ya Bachelor in Information Technology...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kuna yeyote aliyesomea open university bachelor of education teacher educator (BED-TE) na ana material please nisaidie niendelee kupitia huku nikiandaa pesa ili niweze kujitafutia mwenyewe...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanajukwaa la elimu. Mm ni mtumishi mwalimu katika shule ya sekondari hapa Tanzania. Naomba kufahamu namna manumuzi ya vifaa vya kujifunza na kufundishia ulivyo kwa shule za serikali. Kwa uelewa...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom