naomba msaada kwa mwenye uzoefu na chuo cha IFM,
nimeajiririwa lakini nataka kujiendeleza kielimu katika chuo kikuu cha IFM katika fani ya procurement and supply management......
swali je IFM...
Mimi nilitegemea kwamba wanaofaulu kwa viwango vya juu ndio wanaopaswa Kuwa na sifa za kuwafundisha wengine tofauti na hivyo anayepata div four ndio anakwenda Kuwa mwalimu.
Je, yeye mwenyewe...
Habarini wadau naomba tafsiri ya hi picha hapa najua kuna wajuvi na waju...zi wa hizi. Mambo niliplani wakifungua aplication on spot ni aply na nikafanya hivo.
Sasa naona tena wamefunga hamna...
Jamani natafta mwalimu wakunielekeza kutengeneza amplifier kwa kutumia IC aina ya TDA2030 natumainia hapa walimu wapo nisaidieni ase hata kwa malipo nipo tiyari
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wadau naomba tafsiri ya hi picha hapa najua kuna wajuvi na waju...zi wa hizi. Mambo niliplani wakifungua aplication on spot ni aply na nikafanya hivo.
Sasa naona tena wamefunga hamna...
Habarini wadau naomba tafsiri ya hi picha hapa najua kuna wajuvi na waju...zi wa hizi. Mambo niliplani wakifungua aplication on spot ni aply na nikafanya hivo.
Sasa naona tena wamefunga hamna...
Nina mdogo wangu anataka kuomba Bachelor degree mwaka huu wa masomo 2019/2020. Malengo yake baada ya kuhitimu shahada yake sio kuajiriwa ni ajiajiri je? Kati ya Bachelor in Information Technology...
Huu ni ushauri kwa walimu ...
Namna gani unaweza utumia UALIMU wako kuongeza kipato na kubadilisha maisha yako?
Kama mko sehemu moja mnafanya kazi jiungeni kikundi kulingana na masomo kwa mfano...
Habarini wakuu?
Kuna dogo wangu ana certificate ya nursing anataka kwenda clinical officer.
Je anaruhusiwa kubadili fani?
Vigezo vipi vinatumika?
Nawasilisha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Guys, lets me make it simpleee!!!
Nilikuwa nahitaji mtu yoyote mwenye experience, na chuo cha usimamizi wa mahakama-lushoto, anisaidie, nataka kujoin pale mwaka huu, certificate
I tried to search...
Nimemaliza kidato cha sita nikapata ESS nikaapply cheti ualimu (grade A)
Je ntafika chuo kikuu kwa njia gani ??
Nifahamisheni Tafadhali [emoji120][emoji120][emoji120]
Naomba kujuzwa jinsi ya kujiunga na vyuo kwa mtoto aliemaliza form six Uganda, kumakuwaga na taratibu tofauti na waliomaliza hapahapa au ni sawa tu, na kama kuna taratibu tofauti naomba kujuzwa...
Image Source: The Internet
Ishapatwa kuelezwa hapo kabla... kwa nini Combi za A-Leveo Tanzania siyo nyumbufu?
Mashule yangekuwa yanataja masomo yaliyoko, wanafunzi wajitengenezee kombi. Mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.