Sijawai itwa interview ila Leo nimeambiwa baada ya siku 3 nitaitwa interview baada ya kupitia barua zangu..
Sasa hapa sijui wanaenda Nihoji nini wakuu nijuzeni shule ni ya English medium
Habar zenu Nina ndg yangu huko kijijin alihitimu kidato cha sita mwaka 2012 HGK na kupata history C geo E na kisw S je anaweza kusoma digrii?coz point anazo 4 na TCU wanahitaj point 4 na kuendelea...
Samahani wakuu najua wapo form six wengi wamemaliza na wanaendelea kumaliza elimu yao lakini hatujui tuanzie wapi mara kuomba mikopo,mara jeshi na zinginevyo. Tunaomba mwongozo kwa wakubwa zetu...
Wakuu kulingana na kichwa cha habari hapo juu nisaidieni kwa hili je inawezekana kwa mtu kusoma kuanzia certificate hadi degree ukiwa open university maana nataka nifanye hivyo nikasome law nikiwa...
Mimi afisa muuguzi msaidizi nipo
Wilaya ya kilwa nahtaj wa kubadilishana naye awe wilaya mojawapo katika mikoa ya songwe,mbeya,njombe iringa na sumbawanga mawasiliano yang n 0746156986/0687976783
Habirini wakuu,
Nimepanga nijiunge pale IJA, kwa ngazi ya cheti(sheria) sasa nilikuwa nahitaji maelezo kidogo kukihusu, mgafano, upatikanaji wa hostels, gharama za maisha, msuli wa pale...
Wakuu Habarini Za jioni poleni kwa changamoto za hapa na pale niende moja kwa moja kwenye Mada :...
Nimemaliza chuo mwaka Jana fani ya education art, sikuwai kukutana na SUP wala carry.
Balaa...
Habari ndugu zangu
Niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi nina taaluma ya uhasibu ngazi ya degree ila nimekuwa siipendi hii kazi. Nimesoma hii kozi sababu ya kukosa option kulingana na sababu...
habari zenu. mm kijana wenu nmewaletea group link kwa wale wanajifunza/wanaobadilishana ujuzi wa Microsoft excel.
https://chat.whatsapp.com/KrtYhhVjghH7V62jpkNNkT
Wapendwa wana jamii forum ninapenda sana kujifunza lugha ya ishara nina mtoto pia ambaye anashida ya kuongea hivyo naomba kwa yeyote mwenye uelewa wa lugha hii anipe mwongozo ili mm na mwanangu...
Salaam wadau!
Baada ya kuona ajira hazieleweki kwenye utawala huu wa jiwe
Nimeamua nijifunze ujasiliamali wa kupika keki kuzipamba na kuziuza katika sherehe mbalimbali
Pia Nina interest sana...
*By Prof Kamuzora RAS Kagera:*
Tatizo lile lile nililolisema awali. Falsafa ya Elimu yetu ni kuwa watu wanasomea taifa na si kusomea maisha yao. Hivyo, wote mnaingizwa kwenye behewa kuelekea...
Chuo kimesajiliwa na Veta.Kinafundisha kozi za IT,BOA,HOTEl,NURSER TEACHING,CLEARING AND FORWADING,PROCUREMENT AND CHAIN MANAGEMENT n.k.Sifa ni kuanzia darasa la saba na kuendelea.Kwa wale...
Salaam kwenu wanajamvi...kuna mdogo wangu amepangiwa wilaya kibaha shule ya msingi MAHUNDI..napenda kujua umbali wake kutoka kibaha mjini na mazingira yake kiujumla.
Habari za Wakati wadau wote wajukwaa la ELIMU...
Kama wasemavyo WADAU mbalimbali wa elimu na
maswala ya kimafanikio
Elimu au ujuzi mwingi
Umejificha ndani ya vitabu
Kwakulijua Hilo nawaletea...
Jamani samahani wanajamvi, naomba kuuliza eti usajiri wa wanafunzi wapya CHUO CHA UWALIMU MARANGU kwa mwaka kwa mwaka 2019/2020 unafanyika Mwezi wa ngapi?? Maana nmefuatilia Sana kwenye tovuti yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.