Hii ni moja ya Taasisi muhimu sana katika kuzalisha mahandisi wazuri na wanaosifika Nchini na Ukanda wetu.
Sifa hii ya taasisi ipo mbioni kupotea kama hakuna hatua za wazi hazitachukuliwa juu ya...
Habari za siku ndugu
Well naulizia kama kuna chuo chochote hapa TZ ambacho kinatoa masters ya course tajwa hapo juu na ada yake kwa ujumla
Sio mbaya pia kama mkanisaidia kunijuza kama kuna chuo...
Habari,
Ndugu Wanajukwaa Kwa Yeyote Mwenye Uelewa\ufahamu Na Mawasiliano Ya Shule Ya Sangu Sec Jijini Mbeya,
Performance Ya A-level, Maisha Kiujumla Kwa Mwanafunzi Pamoja Na Ada
Ahsanten
Habari, Kwa mujibu wa ratiba ya necta, Maombi yanataanza kutumwa kuanzia 15/5 kwa mwaka wa masomo 2019/2020,
Hivyo kwa wenzangu tuliopanga kutuma maombi kwa kada tofaouti tofauti kama vile...
Habarini wanJf! Ukitafakari kwa makini walimu wa digrii waliotelekezwa na serikali wengi wao wamesomeshwa kwa kodi za wanachi maskini, kitu chakushangaza ni kwamba serikali imetumia hela nyingi...
Mimi ni kijana niliemaliza kidatobcha nne mwaka 2017 kwa matokeo haya DIV IV 26
Civics C
English C
Kiswahili C
Goegraph D
History D
Biology D
Math F
Sasa nilikuwa nauliza ipi imekaa njema kati...
Waalimu nipeni uzoefu juu ya hii kozi ya kuchukua shahada ya ualimu special needs, je unachukua teaching subjects kama waalimu wengine mfano Geography au chemistry? Pia ufundishaji unajikita kwa...
Habarini wadau katika Elimu!
Naomba kuwasilisha kwenu kitabu kipya cha English Language 1 kwa vijana wetu wa Kidato cha tano na sita hasa kwa wenye michepuo ya sanaa (HKL na HGL).
Ni kitabu...
...samahanini wadau wenye uelewa wa hii course inaitwa geomatics(land surveying) inapatikana ardhi university..nataka kujua kama ina soko katika ajira maana nategemea kusoma hio course..naomba...
Wakuu habari za asubuhi? Ni matumaini yangu kua mnaendelea vema, ningependa kama kuna yeyote anaejua au aliye kwenye kundi la walimu wa geography aniunganishe huko 0759160780 Asante
Kunauwezekano kwa mtu mwenye division IV ya 26 kwenda kusoma kidato cha tano kama atakuwa na credit y aani Ana c3 d3 na f1?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wanajamvi,
Naomba kwa anayepafahamu Lekemberia Rombo,
Mazingira yakoje,shughuli kubwa pale no
Pia nataka kujua kama naweza kubadilishana kituo cha kazi Mara baada ya kukamilisha usajiri
Habari wakuu...
Nina mtoto wangu wa kiume amemaliza form four mwaka 2015 ,bahati mbaya matokeo yake hayakuwa mazuri ..
Kwa mwaka mzima tumekaa nae ndani akiwa hajui aamue afanye nn
Lakin kama...
Nimepangiwa shule ya sekondari ndala iliopo halimashauri ya shinyanga mc anaye ifaham naomba anifahamishe kama kuna nyumba za waalim , nyumba za kupanga karbu na shule , umbali toka shinyanga...
Habari wadau..
Nina ndugu yangu anataka asome Diploma ya Pharmacy/CO.. Mwakahuu.. Je Application zinaanza lini..
Pia Naomba na taarifa zingine za Muhimu ikibidi!
Asanteni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.