Mtoto rafiki yangu alisoma kwao Ghana, alifaulu vuzuri six form na sasa amepata nafasi ya kusomea u daktari Ulaya. Kutokana na unafuu wa ada amempeleka Poland na ana mudu kumljpia ingawa rafiki...
Habari wanajf, Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa 3 chuo cha sokoine SUA.
Nasoma ualimu wa geography and mathematics.
Nimepitia mengi toka mwaka wa 1 nikipata GPA 3-3.8, nimesoma kwa njia za...
Je wajua tofauti ya matokeo ya kidato cha nne kati ya hizi shule mbile za juu zaidi tanzania
Pata uchambuzi hapa -
St Francis - St. Francis Girls Secondary School information and analysis...
Hi to you all ladies and Gentlemen, ni imani yangu kua mpo salama kabisa,
Niende moja kwa moja kwenye haja/hitaji
Naamini hapa jukwaani wapo wataalam mbalimbali wenye kuyajua mengi, sasa kwa wale...
nimeikumbuka sanaa hii shule ni sehem yangu ya kujifunzia nlipopapenda sana..nakumbuka mengi sana na ujuzi wote na ujanja wote nilionao nimeupatia pale technical....nafikiri ni bonge la shule apa...
Wanabodi salaam,
Naomba ufafanuzi Masters' Degree by thesis ni kitu gani...na je inakupa uhuru kiasi gani katika kuisoma ukilinganisha na ile ya thesis...na je mhusika anatakiwa kuhudhuria...
Shikamooni wakubwa zangu humu JF.
Siku ya juzi nilionana na rafiki yangu wa muda mrefu sana ambaye ni mtumishi pale NBAA (bodi ya wahasibu na wakaguzi wa mahesabu) pia ni mwalimu wa masomo ya...
Habri zenu wadau wa elimu........
wale walimu na wadau wengine wa elimu naomba wachangie tofauti ya kufundisha na kutafsiri notes ili kuwa update walimu na kuongeza ufanisi katika masaala mazima...
Habari wadau wa Elimu,
Poleni na majukumu yenu, Naomba mwenye Scrpit ya Mock 2019, Eastern Zone body (EZEB) Kwa mikoa Ya Dar es salam na Pwani - Moro
Naomba sana niitumie na mm ni solve
Kwa wale waliomaliza chuo au form six wana matokeo mazuri kuna scholarship uwa zinatolewa na PSC hapa TZ kila mwaka mnaweza check nao. Au waweza mcontact huyu kwa maelezo zaidi jihao8009@gmail.com...
Habari jf,napenda kuuliza ni course zipi ngazi ya certificate & diploma anaweza soma mtu mwenye matokeo ya kdato4 2018 kama HISTORY D,LANGUAGE C,KISWAHILI C,BIOLOGY D,MATHEMATICS F,CHEMISTRY...
Habarini za muda huu wakuu.
Samahani, kama kuna mtu aliyewahi kufanya aina hii ya English Test (IELTS). Tafadhali naomba unicheki PM au kwa Whatsapp No. +255756571886.
[emoji120][emoji120]
Habari wakuu, naiona pasaka ndiyo hiyo ina ishia ishia...!
Naomba kujulishwa je, naweza kwenda TCU nika fanyiwa EQUIVALENT katika CREDITS zangu baada ya kumaliza chuo?
Nimesoma chuo kimoja hivi...
Naitwa Johnson John Siame, nipo mkoa wa Kilimanjaro, wilaya ya Moshi mjini, nina wazo la kuanzisha shule ya awali, ila naitaji watu walio serious kufanikisha wazo hili, nipigie 0744757738
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.