Wakuu Mimi ninajua kutengeneza databases/mfumo wowote ule kwa kutumia ms access kinachonishida ni kupiga codes za kutengeneza login form . Ili mtu awe ana login and out kwenye mfumo.
Naomba...
Wakuu, poleni na kazi,
Mimi ni mpenzi sana wa kusoma vitabu non fiction, nasikia kuna namna unaweza kupata vitabu na kudownload kwenye simu yako na ukawa unasoma kwa kutumia PDF reader, je ni vipi...
Habari wakuu, naomba kupata ufahamu wa jinsi rating ya vyeti unavyofanyika kwa mtu aliyesoma secondary nje ya nchi.
Pia unawezaje kujiunga na kidato cha tano shule ya serikali?
Chuo kikuu cha dar es salaam kinatoa kozi mbali mbali ambazo ki ukweli quality yake ni ya juu sana kwa sababu pia wakufunzi wake wamesoma vyuo vikubwa na maarufu duniani. Elimu ni ile ile tu hata...
Naomba kuuliza waungwana kama kuna uwezekano wa mtu aliyesoma bachelor of science with education(chemistry and biology) kujiendeleza masters kwa kuchukua maswala ya udaktari au pharmacy.
Habari, Kwa yeyote mwenye kufahamu ni Kwa lini dirisha la maombi kwa ngazi ya cheti na diploma kwa mwaka wa masomo 2019/2020 anisaidie
Thanks in advance
Naamini hapa Kuna kila aina ya wataalamu naombeni unipe maswali yanayotoka sana NECTA ni solve mtihani umekaribia lkn naona na hali ngumu nitaleta mrejesho kwa wale wataonipa maswali
Sent using...
TAARIFA KWA UMMA
TANGAZO LA MAFUNZO YA KILIMO NCHINI ISRAEL
UTANGULIZI
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inatangaza...
Habari wana jf, nmehitimu kidato cha nne, nataka nkasome Economics ngazi ya certificate, je ni chuo gan kinachotoa kozi hyo. Pia inawwzekana nkasoma microfinance management diploma then nkifka...
Wakuu habarini? Naombeni msaada kwa mwenye kujua namna ya kujaza combination na kuchagua shule upya kwa waliomaliza form four last year 2018 kama alivyotangaza Waziri Jaffo.
Habari wana jamii.
Katika shule za Sekondari za hapa nchini kunafundishwa masomo mengi tu na masomo hayo yamegawanyika katika makundi makuu Sita. Yaani:
1. Masomo ya Science
- Physics
-...
Wasalaam,
(Naomba nirekebishe kichwa cha habari, kisomeke kwa wale wenye pointi 3 hadi 8 pcm/pcb katika csee ya 2018).
Kwanza niwapongeze ninyi mliosoma na kufaulu sayansi( FIZIKIA NA KEMIA)...
Wakuuu habari zenu na pole na majukum,Mimi ni mtumishi mwalimu nimesoma Bachelor Degree in Adult Education and Community Development.
Ndugu zangu AFISA UTUMISHI NIMEMUANDIKIA BARUA ANIHAMISHIE...
Ni Mhadhiri ambaye pia ni ( Associate Professor ) kutoka nchini Uingereza ambaye yupo kwa ‘ Program ‘ maalum ya Kufundisha Somo moja katika Chuo Kikuu ( nakihifadhi ) hapa nchini Tanzania hasa...
Habari wana jamvi? Nimefanya kautafiti fulani juu ya ongezeko la vituo vya kufundishia wanafunzi ambao wanarudi amitihani ya kidato cha nne (CSEE) pamoja na wale wa maarifa (QT). Kitu kikubwa cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.