Kwangu mimi napenda kuwashauri wadogo zangu kwa walio soma HKL, KLF au HGL apply UDOM uje usome Bachelor degree in Chinese kwasababu hii course now ina soko sana sema tatizo watu wengi sana...
UJUMBE WA TANO.
Na Saidi Mbondela.
Ankara/Turkey
13/04/19.
Habari,
Ujumbe wangu wa leo utakua unakamilisha awamu ya kwanza ya jumbe zangu kwa vijana. Awamu hii nilijikita kutoa maelekezo...
Habari,Nimesikitika sana kuona mwanafunzi wa form three hawezi kuchora ramani ya Africa Mashariki na wala hajui Kenya, Rwanda au Burundi ziko sehem gani ktk Ramani.
Hata uandishi wa Essay tu ni...
Katika ajira zilizotangazwa Walimu wa secondary watakao ajiriwa ni 1374.Na kipaumbele ni waalimu wenye mahitaji maalumu na waliosomea elimu maalumu.
We think too small, like the frog at the...
Naombeni ushauri wakuu..
Nimepata scholarship ya kwenda kusoma China kwenye province mbili tofauti na nimepata course hizo mbili nahitaji kuconfirm kwenda course moja kati ya hizo (Biomedical...
Spreading the News
Human beings have always been curious about the world around them, and anxious to know about events that will have an impact on their lives. For most of human...
Salaam kwenu wakuu!!
Niwakaribishe wote tujadili swali hili kwa pamoja
Wewe kama msomi uliyefikia level fulani ya elimu, je unatumiaje elimu yako ya shahada,stashahada kuchangamana na watu wa...
Wadau habari zenu jamani ninayo admission letter ya kusoma masters yangu chuo kimoja hapa nchini nili apply mwaka huu ila hata mwakani naweza soma mana huwa ina expire ndani ya miaka miwili...
Now a days its a common trend that most of student are doing IT Certifications in different fields.
They find difficulty to pass certifications exams because they dont pay attentions on study so...
When in the sun the hot red acres smoulder
Down where the sweating gang its labour plies
A girl flings down her hoe, and from her shoulder
Unslings her child tormented by flies.
She takes him to...
Habari wandugu,
naomba mwenye kujua chuo cha ualimu wa shule za awali ambacho kina ada nafuu boarding anijulishe tafadhali.
kiwe mkoa wa Dar es salaam au mikoa ya jirani.
shukran.
Wakuuu heshima yenu..
Sijui lolote kuhusu kitu kinaitwa function katika hesabu.
Anyone to make me know it briefly. Thanks.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wengi ambao wana mitizamo tofauti kuhusu elimu yetu. Wako wanaosema elimu yetu imeshuka viwango na wako pia wanosema imepanda na kila mtu anatoa sababu zake.
Kinachochangia elimu...
Jamani mimi na elimu ya kawaida ila pia najishughulisha na ku repair simu, redio na tv, na vitu vingine vya umeme kama hivyo.
Ila na ndoto yangu kubwa ninayoiwazaga kila siku na nipo tiyari kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.