Jamani kama kuna mtu anaweza kunisaida jinsi ya kupata vitabu tajwa hapo juu kwa njia yoyote ile ikiwa ni link au wewe mwenyewe kama unavyo naomba msaada wako.
Wenu katika ujenzi wa taifa letu ili...
INTERVIEW QUESTIONS AND ANSWERS ( SAFETY FIRST )
1. What is Fire?
Ans: Fire is a chemical chain reaction, were required three elements
(1) Heat
(2) Oxygen
(3) Fuel.
2. How many types of fire...
Wakuu Wale Wote Tuliowahi Kusoma Lwandai High Schoo, Mlalo, Kushoto, Tanga Tukutane Hapa, Tukumbushane Walimu Kama Mwinuka, Kavishe, Mweta Mkubwa na Mdogo, Kuna Mwalimu alikuwa anatufundisha...
Mwenye notes au soft copy au anaye pajua sehemu zinzo uzwa kitabu cha general chemistry cha ngaiza kwa morogoro maana nimeenda kwenye page yao ya facebook nimewatumia message hawanijibu. Naombeni...
Kwa wataalamu mnaofahamu mambo ya mipangilio ya vyeti vya NBAA, je? ni cheti gani cha Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi ,yaani NBAA kinacholingana na Postgraduate diploma in accountancy, PGDA...
Napenda kuwasalimu wanajukwaa,natumai tunaendelea vizuri katika shughuli za kulijenga taifa letu tukufu la Tanzania.
Niende moja kwa moja kwenye swali,ningependa kufafanuliwa qualification za...
Hiyo habari ndiyo iliyopewa uzito kwenye hili gazeti la JIJI.
Je walimu mmekumbukwa?? Au ni mwendelezo wa propaganda uchwara zinazoenezwa na magazeti haya uchwara yasiyo kuwa na wahariri wabobezi...
Waungwana naomba kujulishwa.
Kuna chuo fulani kuliendesha masomo ya diploma kabla ya masharti yale ya D 4 ukitoa ya dini ama walikuwa wanawachukua tuuu wanafunzi mwenye alama zozote ili chuo...
Hello English teachers let's share
our skills, any one with an experience on how to teach tenses, for a zero level beginner, what to start with? Give your views basing on your teaching experience...
Prof Msofe ni jembe sana na msaada sana kwa wanafunzi hasa undergraduate wanamjua sana na naona hiyo kamati iliyomchagua imeaona mbali, bravo.
APPOINTMENT OF DEPUTY VICE CHANCELLORS OF THE...
Habari za saa hizi wana JF ....Mimi ni kijana Wa miaka 26 nimemaliza diploma ya kozi tajwa hapo juu. Natafuta ajira (kazi) kwa sasa ila nashindwa kuelewa ni Makampuni gani yanayoajiri watu wa...
Mwenye notes au soft copy au anaye pajua sehemu zinzo uzwa kitabu cha general chemistry cha ngaiza kwa morogoro maana nimeenda kwenye page yao ya facebook nimewatumia message hawanijibu. Naombeni...
Samani wakuu, naitaji past papers za mitihani ya Moko kuanzia mwaka 2005 mpaka 2018 za olevel, nimeambiwa zinamaswali mazuri ya kujipima. Tafadhari mwenye kujua namna yoyote ya kuzipata msaada...
KILELE CHA KONGAMANO LA UPANDAJI MITI ni tarehe 18 /4 /2019 MKABALA NA KITUO CHA MAMLAKA YA MAJI SAFI MOROGORO lengo kuu ni kutunza vyanzo vya maji na kuhifadhi mazingira kama jitihada za...
Salaam....
Naamini muwazima wa afya wana JF na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya kila siku kwa mlioenda kanisani leo Mungu awabariki sana na awape moyo mkuu wenye kumtumainia yeye siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.