Chuo cha QBSCL ni chuo kilichosajiliwa na VETA kutoa mafunzo mbalimbali Kama vile ICT, Business Operation Assistance (BOA) na Nyingine nyingi. Kwa mawasiliano zaidi 0715220199 na 0786220799 au...
Kuna utatatibu wa darasa LA saba kusoma masomo ya biashara? Chuo kiko wapi hasa hapa dar ? au eneo LA kariakoo chuo binafsi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za majukumu wapendwa.
Kama kichwa kinavyosema Nina laptop yangu hapa aina ya Toshiba Inaendeshwa kwa window 10.na inakamera kwa mbele.
Sasa nilikua ninaitaji niwe naongea na na watu...
Mbunge wa viti maalumu, Aida khenani (CHADEMA), ameitaka serikali kulieleza bunge kwanini haitoi ajira kwa vijana waliohitimu katika vyuo mbali mbali vya elimu nchini.
Akichangia bungeni mjini...
Nimepata matokeo aya ,geograph C,civics C,history C,kiswahili C,english C,biology C,chemistry D,physics,D,math F jumla na 3 ya kwanza 22 .na malengo yangu ilikua ni PCB au CBG ingawa kwa bahati...
Kijana mwenzangu ulieko chuo chochote Tanzania hii kuanzia certificate, diploma, degree hata masters kama uliunga hebu leo tuzungumze kwa kina.
Ewe kijana mwenye level yeyote hapo juu unakuta...
habari wanajukwaa, poleni na majukumu ya hapa na pale, natumaini nyote mu wazima wa afya.
naomba msaada wa kupata shule nzuri ya private au chuo kwa matokeo haya ya kidato cha nne
matokeo ni div...
Wana JF naomba msaada hv ni chuo gan kikuu naweza kusomea RECORD MANAGEMENT baada ya fm six??ukiachana na vyuo vya utumishi wa umma??msaada kwa mwenye anajua..![emoji120]
Sent from my iPhone...
Ndugu wana jumuiya wa chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere na wadau wote wanaohusika,kumekuwa na habari ya upotoshaji iliyotolewa na mtu anayeitwa Abdul Omary Nondo kwamba chuo cha kumbukumbu ya...
Kuna changamoto imetokea kwa wanafunzi wa chuo cha Mwalimu Nyerere, wanafunzi wa wa certificate na Diploma kuhusu matokeo yao.
Tangu 2017 na 2018 wanafunzi wa NTA levels 4 na 5 wamekuwa...
Shukrani sana wizara ya elimu .Wizara kwa ukweli ni wizara imara sana kwa upande wangu ,mbali na changamoto zingine katika shule na vyuo vyetu .Ni wizara ambayo ikipata malalamiko ya wanafunzi...
Salaam Wadau,
Natumaini Mwenyenzi Mungu anawafanyia wepesi katika uhitaji wenu wa kila siku!
Ninauhitaji Mkubwa wa Kupata Elimu Kiutendaji katika Kazi/Biashara ya Copper Cathodes hasa kwa wale...
Nimewaona wanafunzi wa Kantalamba na shule nyingine wakifanyishwa siasa. Wamevalishwa uniform na kufanya kile kinachoitwa kumzuia Rais.
Waandaaji wa shughuli ile wamechemka kweli kweli. Leo...
Mwenye notes za general chemistry za ngaiza ziwe soft copy au kitabu au anayejua wapi vinapatikana kwa morogoro naomba anisaidie na shida nacho asante sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello English teachers let's share
our teaching skills, any one with an experience on how to teach tenses, for a zero level beginner, what to start with? Give your views basing on your teaching...
Wakuu, msaidieni huyu dogo, anataka kwenda kusomea taaluma niliotaja na kisha afungue maabara yake.
Mpeni Ushauri kulinana na ngazi anayotaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.