Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Je kama nimepata physics D, chemistryD, biology C Na math F, Chuo gani cha serikali naweza kusoma pharmacy Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi mwaka huu wa 2019 kunavigezo gani vya kuchukua wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza? Maana Nina kijana wangu ana D3 na C1 na B moja na jina lake halikutoka sasa hivi wanadai anadaiwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Yule kijana alieongoza matokeo ya elimu ya kidato cha nne amesema kupitia mtanzania gazeti kwamba mpaka sasa aoni umuhimu wa yeye kama mwanafunzi ama wanafunzi wenzake kujiunga na neno...
3 Reactions
84 Replies
10K Views
Naomba kufahamishwa likizo ya pasaka kwa wanafunzi wa sekondari na shule ya msingi inaanza tarehe ngapi hadi ngapi Nawasilisha
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Jmn kwa wakubwa mliontangulia naomb mnisaidie nna. Physics D ,Chemistry D,Biology C ,Math F je in college ip ya serikal naweza kusoma medical laboratory Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
959 Views
Mimi nmesomea ualimu nmehitimu 2016 chuo kikuu kimoja hivi hapa nchin.Nmesoma ELIMU MAALUM sasa kaka yangu alikuwa na vyeti vyangu (softcopy)wakat wanatangaza ajira aliniandikia barua na kuapply...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wanajukwaa Kunahabari zimeenea hivi karibuni kuwa kuanzia 2019 form 6 watafanya mitihani yao mwezi wa pili(February) badala ya kufanya mwezi wa 5(May) kama wanavyofanya sasa... Naomba...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari za Leo wanajamii forum? Naomba mwenye kujua chuo cha ualimu kinachotoa cheti cha elimu maalumu tukikiondoa chuo cha pandandi Arusha je kuna chuo kingine? Naomba mwenye kujua unaweza kunipa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hello,,, kwa wale walliopo hapa Tanzania, natafuta panya weupe wa maabara (laboratory mice) kama utakuwa nao plzz wasiliana nami kupitia 0689773106. For those who available in Tanzania, I need...
0 Reactions
3 Replies
937 Views
Napendekeza serikali isimamishe udahili wa waalimu katika vyuo vyote kwa ngazi zote kwa miaka 5 ili kutoa nafasi kwa hawa waliopo (91,000) kuja kupata nafasi ya kuajiriwa na kutumikia taaluma zao...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Msaada please
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amefanya kufuru kimatumizi UDSM.Katika safari yake ya kutembelea Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Mkwawa Iringa...
3 Reactions
176 Replies
26K Views
Nimemaliza kidato cha NNE mwaka Jana na kupata div 2 na kwa sasa Nina matatizo kiafya sisikii vzuri niende chuo cha afya au niende advance ushauri tafadhalu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi hii sitaisahau kamwe.. Biology is the study of living things. NOTE: ===== Kuna definition zingine ngumu sana sana kumeza ila kwangu hiyo niliionea. Kuna jamaa yangu alitumia siku 3 kukalili...
13 Reactions
156 Replies
16K Views
Kama hospitali yeyote ya private inahitaji nurse wa degree nipo napatikana kupitia hii no 0765782511 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Nimemaliza kidato cha NNE mwaka Jana na kupata div 2 na kwa sasa Nina matatizo kiafya sisikii vzuri niende chuo cha afya au niende advance ushauri tafadhalu
0 Reactions
1 Replies
753 Views
hivi hapo una scan original certificates ndio una attach au unatoa copy halaf unascan zile copies? limenichanganya hilo neno scanned copies ...shukran
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Hivi graduate wa Education anaweza kusoma masters ya Political Science and Public Administration?? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
702 Views
Back
Top Bottom