Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habarini wana JF, naombeni kujua Balaza linalosimamia elimu ya ufundi Tanzania Nacte huchukua muda gani adi kuja kuzitoa Academic transcript? msaada wenu jamani
1 Reactions
1 Replies
8K Views
National symbols are signs which represent Tanzania nation ....... Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Yule mwalimu bora wa History na Geography aliyezunguka mikoa mingi ikiwemo mikoa ya kanda ya ziwa sasa amerejea katika jiji la Dar-es-salaam ili kuwasaidia wanafunzi wa o-level na advance. Kwa...
0 Reactions
1 Replies
841 Views
kuna uwezekano wowote kwa mtu mwenye GPA 2.6 kuweza kusoma master?
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Takribani mwezi mmoja na nusu uliopita serikali kupitia wizara ya OR-TAMISEMI ilitangaza ajira kwa walimu wa ngazi ya msingi na sekondari 4549. Ambapo kwa mujibu wa katibu mkuu-Tamisemi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
IT
Msaada nina mdogo wangu kamaliza form four ana division four ya cheti je anaweza kusomea (IT) software engineering
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wakuu! Mimi ni mwanafunzi wa last year, diploma in mechanical engineering, ninahitaji kusoma degree ya automobile baada ya kumaliza diploma.. Je, ni chuo gani kizuri hapa East Africa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
wapendwa wana jamii forum salaam hivi majuzi tulishuhudia uzinduzi wa maktaba mtandao uliofanywa na taasis ya elimu tanzania (TIE),moyoni nikajua kwa mbwembwe zile basi mambo mengi watakuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Chuo Dar es Salaam intake ya mwezi wowote ule Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wanajamvi, mara nyingi humu jukwaani tumesikia udsm wanachukua wanafunzi wenye viwango vizuri vya ufauru kidato cha sita lakini je inakuwaje hao hao wanafunzi wanadisco? HIZI NI...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Kwa ufupi Halmashauri ya Kisarawe inatarajia kuanza ujenzi wa shule ya bweni ya wasichana baada ya harambee tokomeza zero iliyofanyika Machi 30 Kisarawe. Halmashauri ya Kisarawe inatarajia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
HABARI WAKUU! KWA WALE WATAALAMU WA MASOMO YA BIASHARA NA BANKERS NA NBAA AU NBMM PROFESSIONAL NAOMBA MTOE MICHANGO YENU KUHUSU HIYO TAASISI TAJWA NA CERTIFICATION ZAKE KAMA VILE UNAVYOJUA AU...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
HABARI WAKUU! Kama nilivyoandika kichwa hapo juu naomba msaada kwa watu ambao wameshajiunga Research na ku publish article naomba mnisaidie email zenu, maana mimi ni independent sina affiliation...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari wakuu mwaka huu najiandaa kuingia kidato cha tano nmekua nikifatilia masomo ya advance notes,papers na hata results za waliotangulia lkn naona somo la GS watu huwa hawafaulu unakuta ata T.O...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
MFANO veti vya o level na A level Examination authority yake ni NECTA na Diploma ni NACTE je degree ni ipi?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
habari wakuu nahitaji kujua kitabu kitakacho niwezesha kutoboa phy ya advance maana nmepita thread moja humu nimesikia moto wake chand tayar ninacho nahitaji niongeze ata viwil vya phy mapema
0 Reactions
12 Replies
962 Views
habari wanajamvi, hii mada nimeamua kuileta kwenu maana naona kama imekua gumzo huku na kule, hasa ukimkuta kijana wa zamani alie pata elimu huwa na kasumba za kuwananga (kuwabeza) vijana wa sasa...
1 Reactions
35 Replies
4K Views
Wadau! Napenda kujua kama ukiwa na CPA au Certification yoyote kama CCNA, CCNP au CISA unaweza kunaweza kuqualify kujiunga na masters kwa case hauna degree ya kwanza?
0 Reactions
27 Replies
10K Views
Mwenye soft copy za somo lolote katika combination ya PCB ni PM namba yako tuonge Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari zenu wakuu nadhan mmesikia taarifa juu ya ujazaji upya Wa 4m za selform kwa wanafunzi Wa kidato cha nne kulingana na matokeo yako mm katika komb ya pcm nna phy-c chem-B b/math-B...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom