Ivi wakuu unaweza kujisajili kama private candidate kwa combination ya ECA hata kama hukusoma Commerce na bookkeeping o'level au nijisajili tu EGM?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaani hii ni shule kongwe na kubwa sana imesomesha watu wakubwa kuanzia mango mkuu na wadau wenge wa siasa...inapatikana Kilimanjaro old moshi mashariki tsuduni...shule hiii imefungwa kwa mda...
Pokea hili kuna shele ya msingi inaitwa king'ongo primary iko GobaMatosa .
Hi shule inahitaji jicho lko kwa ukaribu sana kuna mambo ynaendelea huku ya ajabu walimu wana kaz zao binafc kuendesha...
Je wewe ni binti,mama unamtoto yupo tu nyumbani hana ajira,umesoma shule na hujafanikiwa kupata kazi,hujasoma kabisa na hujui nini cha kufanya
Kwa kozi ya miezi mitatu tu,na ada nafuu kabisaa...
Habarini wanajukwaa..!!
Kwa jina naitwa HUSSEIN FALIH ni mzaliwa na mkazi wa jiji la DSM na pia no mwanafunzi wa kidato cha 5 mchepuo CBG katika shule ya sekondari CHAMWINO ambayo ni shule ya...
Mambo vipi wakuu?
Nina mambo kadhaa ningependa kupata kutoka kwenu! Nina mpango next month kuanza kujiandaa na mtihani wa PMP unaotolewa na Project Management Institute (PMI). Maandalizi yangu...
Nimekuwa nikipitia mijadala ya wenzetu walioendelea kuna vitu vizuri nimeona na nimekuwa nikijiuliza kwa nini kwetu iko tofauti.
Baadhi ya hivyo ni
1. Uwezo wengi kusimulia au kuelezea. Katika...
Great Thinkers,
Najiandaa kufanya Certification ya PMP based on PMBOOK 5th Edition. Kwa mwenye interest naomba tuwasiliane. Na kama kuna mtu ana vitabu vifuatavyo pia naomba tuwasiliane:
Head...
Usipmbe udisco chuo hasa kama wewe ndio kiongozi wa familia
Kiufupi sijawahi kua na historia ya kufeli toka primary ila kufaulu tena kwa daraja la kwanza O level&A level.Baada ya kujiunga chuo...
Wanabod Mimi ni mwalimu niliyekuwa nafundisha advanced level mwaka jana nilipitiwaga na sakata LA uhamisho wa kwenda kufundisha primary
Ki ukweli mambo huku ni magumu yaan madogo hawanielew kbsaa...
Heshima kwenu mabibi na mabwana ndani ya JF!
Tafadhali naomba kujuzwa na yeyote ajuaye, chuo bora kinachotoa short course za mafunzo ya upambaji wa kumbi za sherehe pamoja na nursery teaching...
Wakuu kuna dogo mmoja kahitimu 2013 ana four ya 32 katika performance zifuatazo
Chemistry C
Kiswahili C
English C
Biology D
Physics D
Marthe E
Geography E
Civics D
Je anaweza kwenda advance private?
Ndugu zangu wana jamvi nakuja kwenu kwa mara nyingine tena kuomba msaada wa hali na mali. Ndoto zangu ni kusoma walau niwe na PHD ya taaluma yangu katika elimu ila kwa sasa bado nina shahada moja...
Habari za saa hizi jamani Nina ndugu yangu yupo mwaka wa tatu ,huyu ndingu yangu ujuzi wake zaidi ni katika water supply project, water treatment, waste water treatment , sanitation projects ...
MAANA YA UTAFITI AND AINA ZA UTAFITI
Wataalam wengi wametafsiri neno research/utafiri katika mirengo tofauti. Kiujuumla Research/Utafiti ni ni uchunguzi wa asili wenye mpangilio unaofanywa ili...
Wakuu habari yenu,
Nimejaribu njia zote za kupata uhamisho wa mke wangu aje Dar es Salaam lakini sijafanikiwa kabisa, Niliambiwa anatakiwa amalize miaka miwili kazini..kamaliza zamani sana...
Nimesoma vyuo tofauti lakini sijawahi kuona chuo kigumu ndugu zanguni Kama open university..........
Yaani nimeshidwa kuamini baada ya kujiunga chuo nimeambiwa hakuna kuingia darasani , Hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.