Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hivi mnaamini? Angalia watu uliosoma nao wale waliopata A wapo wapi na wale wa C wapo wapi .
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kwa kushirikiana na Bodi ya Uhasibu (NBAA), inawatangazia Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu nchini, kujitokeza Kusajiliwa kwa lengo la kutambuliwa kwenye...
0 Reactions
4 Replies
37K Views
Kuna tetesi kuwa chuo kikuu cha dodoma kimeandaa mkakakti wa kuhakikisha waajiriwa wengi wanatoka kwenye dini moja kubwa hapa nchini ambayo hadi sasa watawala wake wengi wa juu ni waumini wa dini...
1 Reactions
88 Replies
10K Views
HAbar wana jukwaa mm ni muhitim nna shahada ya elimu .ninahitaji kupata udhamini wa kwenda kusoma digrii ya pili katika nchi yoyoye ile au hata apa tanzania .lkn shida ni namna gani nna weza...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Imegundulika ya kwamba 99% ya Vifo vinatokana na ama Wahadhiri au Wanafunzi wa Elimu ya Juu ( Vyuo Vikuu ) nchini Uganda Kujitoa Uhai wao ( Kujiua / Kujidedisha ) mara kwa mara ni Mahusiano ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndg zangu Nina shida ninaomba mnisaidie kunipa maelezo kwa anayefahamu haya maswala. Mimi nilikuwa nikisoma moja ya kati ya vyuo vikuu vinavyopatikana hapa nchini(nisingependa kukitaja). Lakini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kwa wanaoifahau hii kozi ajira zake zikoje na ukisoma ni wapi unaweza kuifanyia kazi kwa wale wanaofahamu mtujuze Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani nipo nafanya data analysis ila nimekumbana na changamoto hapa. Nilikua na site tatu wakt wa data collection na kuna swali lilikua na multiple responses hvyo basi nahitaji Bar chart ambayo...
1 Reactions
0 Replies
697 Views
Msaaada wenu wadau. Niliapply chuo cha University of Dar Es Salaam Computing Centre kule Posta Mpya huku kaztika fomu ya maombi ya chuo nikijaza kwamba nitaingia asubuhi saa 2 hadi saa 6 mchana...
1 Reactions
1 Replies
669 Views
He is the most honoured and degraded at the same time in the same world. 1. In the USA, the people who are considered as VIPs are; Scientists Doctors, Engineers and TEACHERS 2. In France, only...
0 Reactions
3 Replies
817 Views
Wakuu kama kuna yoyote aliyefanikisha kutuma maombi kwa hizi scholarship atoe muongozo tafadhali. Natanguliza shukrani za dhati. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naombeni wenye mawasiliano ya bodi ya mkopo kanda, awa jamaa wamenikata pesa alafu me sina mkopo wao Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
374 Views
HAbar wana jukwaa mm ni muhitim nna shahada ya elimu .ninahitaji kupata udhamini wa kwenda kusoma digrii ya pili katika nchi yoyoye ile au hata apa tanzania .lkn shida ni namna gani nna weza...
0 Reactions
2 Replies
997 Views
Jamani nashauri kama kuna mtu yeyote ana ndugu yake amemaliza form 4 mwaka jana...asijisumbue kumtafutia shule eti kusoma advance(form 5 na 6)...hiyo level ni ya matesobna kupoteza muda tu...
8 Reactions
66 Replies
10K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda katika kuwawezesha watoto wa kike waliokuwa wanafaulu vizuri masomo ya sayansi lakini wanashindwa kuendelea na masomo, kwasababu ya ugumu wa maisha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna utata kuhusu kujiunga na masters hapa tz ikiwa ati kila chuo kinataka Gpa na cut off ilozoweka.tufahamishane point ambazo mtu waweza soma masters.Nimepata Lower second ya point 3.3 Katika...
1 Reactions
59 Replies
33K Views
Namba vigezo vya kusoma clinical officer kwa private na chuo vya serikalini Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Inakumbukwa kuwa tarehe 20/Nov/2018 ,Niliibua suala la rushwa ya ngono katika chuo cha SAUT Mwanza hii ilikuwa kabla ya Dr.Shule kuibua zile tuhuma za rushwa ya ngono UDSM tar.27/Nov/2017 siku...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wakuu naombeni msaada wenu kama kuna anayejua ninakoweza kupata hivi vitabu ya Elvis Musiba, vikiwa na stellingi Willy Gamba. Vitabu hivyo ni kama vile: 1.Kikosi cha Kisasi 2.Kufa na Kupona...
3 Reactions
177 Replies
63K Views
Kijana wangu amepata FOUR na kwa four yake sidhani kama hata certificate college watamkubali...wazo nililonalo ni, kureseat kwajili ya kufanya paper tena, changamoto ni kwamba sielewi utaratibu...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom