Soma hapa kwani nini ipo hivyo;
Typical Food Science and Technology Activities in the Food IndustryDepending on the size and type of factory or organisation that they are employed in, food...
Jamani naomba kufahamishwa wapi nitaweza kupata centre ya kufanyia mtihani kwa wale wanaorudia kidato cha NNE maeneo ya mwanza mjini kati na naomba nifahamishwe gharama zake na ikiwezekana na...
Habari wanajfm
Hvi hii Kozi ya local government management inayotolewa katika chuo cha mzumbe main campus hinalipa na hinahusika na ajira gan . Kwenu wana jfm msaada .
Sent using Jamii Forums...
Mada tajwa hapo juu inajieleza. Naombeni mnisaidie shule nzuri ya boarding (serikali) kwa olevel ili niweze kumpeleka kijana wangu. Aje alisaidie taifa. Mm ni maskini siwezi kumlipia private...
Habari wakuu! Je! Ni hatua gani za kuzifuata ili kuweza kusajiri au kuanzisha kituo cha mitihani kwa ajili ya watahiniwa binafsi (Private candidates).
Sent using Jamii Forums mobile app
shule ipo DSM
kutwa na bweni
jinsia zote
ada kutwa laki 7 kwa o'level na advance kwa masomo ya sanaa tu
kwa bweni ni mil 1.4
ada inalipa awamu nne ( 400000 ,300000,400000,300000) kwa bweni na...
YAWEZEKANA ! Unasoma sana lakini matokeo yakitoka hutamani rafiki au hata wazazi wako wajue kile ulichopata AU unafanya vizuri darasani na mitihani ya kawaida lakini inapofika muda wa kufanya...
Private School vs. Public School: Facts, Benefits & Statistics
Hudson Lindenberger,Fatherly 10 hours ago
When it comes to deciding whether to send children to private school vs public school...
nimechaguliwa UDOM barchelor of education in science ,nina div 2 ya 11.
japo serikali ilisema hii fani ni first priority lakin mkopo niliopata ni 28%.
nimeamua kuahirisha mwaka mpaka...
Naombeni msaada nimefanya mtihani wa form 6 mwaka jana. Nilisomea PCB nimekosa point mmoja tu nina E ya physics ila mengine yote na C
Lengo langu kubwa nije kusoma course ya afya. Wazo langu...
Wakuu asalaam
Naombeni uelewa wenu kuusu uyu dogo wa kike je anaweza kwenda advance kwa alama izi...na kama awezi kwenda hakuna corse yoyote itayomfaa????
English.B
kisw.C
history.C
civics.C...
Naomba kujua gharama ya ada na direct cost ya chuo chochote kilicho na bachelor ya philosophy and political science au International relations.
Sent using Jamii Forums mobile app
More than 49 innocent Muslims were killed by a western extremist with the aim of creating general panic among the Muslim community in the New zealand and deter many the would be Muslim migrant not...
Habari zenu wana jukwaa.
Kuna jambo naomba wenye utaalamu wanipe muongozo kuhusiana na ufamasia.
Mimi najianda kuingia chuo kikuu Ankara(Turkey) kusomea pharmacy, awali halikua chaguo langu la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.