Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nafasi zinatoka lini? Au kama zimeshatoka nazipata katika website gani ? Na utaratibu uko vp Wa kuaapply ualimu wa certificate Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Shule ipo vizuri Ada ni laki 7 na hutolewa katika awamu nne. hii ni sawa na bure kabisa. Shule ipo Ruvuma na inapokea bweni na kutwa. Kuhamia pia. More explanation PM
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Oya wakuu samahani naomba mnisaidie Eti mashine za kuhesabu pesa zinahusika kwenye engineering gani?
0 Reactions
2 Replies
850 Views
habari wakuu nimetumiwa hizi post mbili ipi hapa ni muonekano sahihi wa OTEAS kwa walofanikisha, ipi sahihi?? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau nauliza ada yakusoma certificate of law pale ruaha University ni kiasi gani? Hata vyuo vingine pia Na course nzuri Kati ya medical laboratory na law ipi ambayo ipo marketable Sent using...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa ni lini nafasi za masomo ya ualimu zinatoka. Na zinatangazwa website gani tofauti na NACTE.Au kama pia nimechelewa naomba kufahamishwa. Shukran Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sharing is caring. Ba ndugu hii scholarship zimetangazwa kwenye website ya chuo kikuu kimoja maarufu Kenya juu ya hizo nafasi za scholarship kwa watu wa nchi za Africa Mashariki na Kozi hiyo ya...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema mana kuna watu wananiambia procure diploma unasoma miaka miwili accountancy diploma mitatu na kama ipo ivyo kwanini miaka haijawekwa sawa wakati course zote ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ANNOUNCEMENT FOR REPUBLIC OF KOREA AWARDS SCHOLARSHIPS (MASTER’S DEGREE) FOR 2019/2020 Applications are invited from qualified Tanzanians from Public Sector to apply for the Master training...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Mm ni mwanafunzi wa mwaka wa 2 chuku kikuu cha dar es salaam. Nasoma course ya physical education and sport science. Nahitaji shule ya private kwaajili yakufanyia field trip mwenzi wa 7 mwaka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tuliosomea Dar es salaam miaka ya 90's, especially mid to late-90's, bila shaka tunafahamu Mzizima Secondary School walivyokuwa wanatuburuza kielimu! Bado namkumbuka dada mmoja wa Kiasia mwaka...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hebu download umpatie mwanafunz wako JumaClicks.com - for Jobs and Educational Updates: Examinations Past Papers
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kulingana na tatzo la ajira TZ tunadhani nimfumo gani wa elmu unaoweza kutumika kuwaandaa wanafunzi mapema kuondoa dhana ya kuajiliwa na kujiandaa kwa hali zote Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
951 Views
Ndugu zangu naomba kuuliza hivi tangazo la ajira kwa walimu deadline yake ni lin hasa kati ya tarehe 13 au 15 march! maana napata mashaka mchakato wa kuingia OTEAS kwangu umekuwa mgumu siku ya leo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarin wakuu naomba kuuliza kama kuna mwalimu humu aliyeajiriwa mwaka huu kupitia oteas
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Chama cha mapinduzi kuwasaidia wanachama wao kuomba kazi ni sawa! Na imeekaje hii kitaaluma? Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
994 Views
Habarini wana janvi, Nilisoma semester tano CBE nikaamua kuchukua higher diploma,sasa nataka kurudi kumalizia degree.je nitaanza mwaka upya au nitapiga hyo semester moja nihitimu.msaada kwa mwenye...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu mwenye uelewa na mfumo huu naomba aweke wazi. Maana kuna mkanganyiko mkubwa sababu veta wanatumia Levels na grades. Kama kuna mtu anajua equivalents za levels na grades vizuri atuambie
0 Reactions
16 Replies
14K Views
Habirini, Ndugu wanajukwaa nilikuwa nataka kufahamu tarehe rasmi ya kutuma maombi kwa vyuo kwa sept intake, au kama yeyote mwenye ALMANAC atuwekee hapa Mbali na hilo mwanafunzi mwenye credits 3...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom