Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Assalam Aleyqum\ Bwana Asifiwe, Asilimia Kubwa Ya Wanafunzi Wanahangaika Kuweza Kujua Mustakabali Wao Wa Kielimu Hasa Baada Ya Kupokea Matokeo Ya Kidato Cha Nne, Wengi Wao Wanataka Kujua Je...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu habari,nmefanikiwa kuchaguliwa kidato cha tano awamu ya pili 2017,tafadhali mwenye kufahamu vitabu vizuri katika masomo ya physics na chemistry naomba anijuze Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
45 Replies
9K Views
Naomba mnisaidie kupata video za tamthiliya hizi hapa: Kiswahili: 1. Orodha 2.ngoswe penzi kitovu cha uzembe 3. Kilio chetu kiingereza. 1. This time tomorrow 2the black hermit 3. Three suitors...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mdogo angu kamaliza form iv
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Ni pale umekaa kwenye chumba cha mtihani unafanya maswali kwa kujiamini kabisa ukidhani umepasua then msimamizi anakuja anasimama nyuma yako kwa muda then anatangaza "JAMANI SOMENI MASWALI KWA...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habar wanabod Mimi ni mwalimu niliyehitim kidato cha sita comb HGL HISTORY D,GEO E na language S je nimekidh vigezo vya ndalichako kwa upande Wa digrii?nataka mwaka huu niombe chuo hata open...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Notes za kufundishia na kujifunzia kwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza mpaka cha nne Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
8 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu, poleni kwa majukumu ya kila uchao. Kama mnavyofahamu ajira ni ngumu kipindi hiki, sasa basi katika kuhangaika nimepata katwisheni ka kufundisha kidato cha tano na sita...
0 Reactions
27 Replies
9K Views
Tunatoa huduma zifuatazo: 1. Preparation of concept note for academic researches. 2. Preparation of academic research proposals. 3. Preparation of research findings and report writing. Data...
0 Reactions
2 Replies
789 Views
*MADA NUMBA 1: FREE REFERENCE MANAGEMENT SOFTWARE* Uandishi wa paper, assignment au thesis hutegemea Zaidi organized citation na reference ambazo huifanya kazi yako kuwa na uhalali na pindi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jf Msaada kama kuna mtu kaweza kuapply ajira ya ualimu oteas maana mimi tokea jana ina load tu haifunguki kabisa.... Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Samahanini tena wana jf ningeomba mniambie kuna vipengele vingapi vya ICT na ningeomba mnitajie ili niweze kufanya uchaguzi sahihi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
3K Views
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau wanaomba kujua chuo kizuri kinachofundisha CCTV camera,and alam system Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
593 Views
Habari wana jf,hvnaweza kupata sholarshp za kusoma degree kma nmepita college na sio advnce? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada kwa mwenye taarifa juu ya SAUT mbeya campus anijuze,location,qualification na mengine mengi kukihusu chuo hiki ,ASANTE
0 Reactions
2 Replies
821 Views
Wakuu Habari naomba kuuliza hivi TCU wanakata kiasi gani pale mhitimu wa chuo kikuu anapoajiriwa kwa Mfano kwenye ajira kama za security company Naomba kujua maana nipo kwenye mchakato wa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
naomba msaada kwa mliofanikiwa kutengeneza accounts na kufanya applications, kunavigezo gani hasa vya kuzingatia upoingia kutuma maomba baada ya Ku create account? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
66 Replies
14K Views
Back
Top Bottom