TRY THE FOLLOWING SCHOLARSHIPS FRIENDS, THEY MAY HELP YOU
International Leadership Scholarships for Masters in UK, 2014
World Citizen Talent Scholarships, Netherlands
Loughborough...
University College Maastricht (UCM) will give financial support to three students who will be invited to enroll at UCM in September.
Who is eligible for the scholarship?
Highly qualified...
Naomba wabongo tuchangamkie fursa za scholarships za kusoma nje kwa level ya bachelor, mastersa na PhD. Tumekuwa tumelala sana huku tukipigwa bao na nchi nyingi za kiafrika kama nigeria na ghana...
Kwa wale mnavutiwa kusoma Shahada ya Uzamili na Uzamivu nchini Ufaransa chuo cha Agro Paris Tech hasa kozi za maji na kozi nyingine zote.
Napenda kuwataarifu kuwa kuanzia kesho saa 3 Asubuhi...
1.0 Call for Application:
Applications are invited from qualified Tanzanian for undergraduate, Masters and Doctorate, Scholarships tenable in Peoples Friendship University of Russia (PFUR) in...
naomba kuuliza wadau juu ya OTEAS,, je baada ya kumaliza process zote utajuaje kuwa maombi yako yamepokelewa sehemu husika?,,, maana nnachoona ni baada ya kujaza mikoa uki click sehemu ya save ndo...
Yafuatayo ni maelezo ya namna ya kuomba fursa za kimasomo nchini China
Maelezo haya yameandaliwa na Watanzania wanaosoma China-
kupitia HEOCT (Higher Education Opportunities in China for...
Aisee hii kesi sitoisahau kabisa!!
Hata baadhi ya rafiki zangu mpaka waleo wamebaki na makovu mwilini has a sehemu za makalio.
Nakumbuka ilikua mwaka 2016 ambapo nilikua kidato cha 3 shule ya...
Habari zenu ndugu.
Naomba kufahamishwa ni zipi shule mbalimbali za binafsi (private) zinazofanya vizuri katika matokeo ya form 6 hasa kwa miaka ya hivi karibuni (2016/17/18). Nina wadogo zangu...
Message…Sorry! kuna ndugu yangu kamaliza 4m four kapata div 3 ya 24
civics C
Geo C
bios C
kisw C
history C
math F
English D
anataka kwenda chuo cha water Institute atapokelewa kwa Alama hizo...
Kama haya ndio yanayosomwa...kwa sababu hayaakisi maisha halisi wala hayagusi changamoto zake na kuzitatua...
Sasa nimsome Panzi na kuweka kichwani parts zake zote ili iweje...
Hebu tuambieni...
Wanajamvi kuna mtu kaniuliza mtoto wake aliepata Division III ya point 25 kwa alama hizi
KISWAHILI-C
HISTORY-C
ENGLISH-C
BIOLOGY-C
GEOGRAPHY-D
CIVICS-D
BASIC MATHEMATICS-F
PHYSICS-F
CHEMISTRY-F...
Habari zenu wana Jf , Mimi na mdogo wangu kamalimaza Form4 Ana DIV 2 Ya 21 Matokeo yake ni PHY-D, CHEM-D, BIOS-B, GEO-C, MATH-F, ENG-B, KISW-C, CIV-D, COMP-C, HIST-C Na anataka kwenda kombi ya PCB...
Kuna mdogo wangu mwenye umri wa miaka 19, amemaliza kidato cha nne mwaka 2017 na alipata Division Four Point 26,
Civics C
English C
Kiswahili C
History D
Geography D
Biology D
Math F
Mpango wake...
Kwasasa nipo chuo kikuu naelekea kuhitimu, ila nafsi yangu haina amani, nimesoma shule ya kata, changanya na utoto, na ukosefu wa walimu, nikapata div 2 ya 21 mwaka 2010,
Lakini hadi leo nafsi...
Habari zenu wana jamvi kama mnavyojua matokeo ya kidato cha nne yametoka leo tar 24 Jan 2019.
Kwa matokeo haya
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'D' F.ART - 'C' KISW - 'D' ENGL - 'C' BIO - 'C' B/MATH -...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.