A customer returns good to a bussiness which source document issued by? This is question no 1 question no 2 customer returns faulty good to supplier which source of document will supplier make to...
salaam wakuu
mimi ni graphic designer nnayehitaji kuongeza ujuzi wangu kwa kujifunza motion graphics naomba mtu anayefahamu chuo gani naweza kusoma course ya muda mfupi tafadhali nisaidie...
ASBN ni nini?
Umuhimu wa ISBN kwenye kitabu ni zipi?
Kuna ulazima wa kuweka ISBN kwenye kitabu hususani vitabu vya shule ?
Gharama ya ISBN ni shilling ngap za kitanzania?
Muhusika mkuu wa kumilik...
Wanajukwaa naomba kuuliza kama kuna anayefahamu namna ya kusoma coz nipate chet cha TFDA nataka kufungua duka la dawa mimi nimkemia nahitaj kuuliza namna ambayo naeza soma hyo kozi na kupata chet...
Poleni sana kwa majukumu ndugu zanguni,
Jaman nina mdogo wng ndio kamaliza form 4 mwaka jana sasa yeye ana ndoto za kusomea bio medical equipments engineering,sasa yeye anauliza kuwa akimaliza...
Hii ni aibu kwa chuo hiki kikongwe, kutawaliwa na siasa hats kwenye maswala nyeti kama PhD.
Najiuliza , ivi watu wanajisikiaje wakijua udsm ndio imewatunuku PHD ?
Hata kama mnashinikizwa...
Mwenye namba ya simu ya mkononi ya waziri was elimu prf. Ndalichako au naibu wake naomba anisaidie Mimi Nina kilio Changu Cha kumueleza ambacho ni siri
Habari za kazi walimu. Poleni na kazi hii ngumu ya kutuelimisha. Niende moja kwa moja kwenye mada. Walimu nawaombeni mnisaidie pre mock papers (soft copy) za mwaka 2018 au 2019. Naombeni masomo...
Wasalaam wakuu....Natumai mko salama,Nilikua naomba mnisaidie Eti kwanini wanahabari wanaipinga sheria ya Magazeti ya Mwaka 1976 na hii mpya ya vyombo vya habari ya mwaka 2016??Nimeitafuta hasa...
Habari,
Rejea kichwa cha ujumbe.
Condition: Used
Uses: PCM,PCB,PGM,EGM,CBG,HGE (yaani both Pure and Bam)
Location : Mwanza town
Price: 15,000ths
Reason for selling: Owner is about to...
Wakuu naombeni Sana mnipe points juu ya faida na hasara kwa kumpeleka mtoto chini ya miaka 14 elimu ya msingi asomee boarding yaani mbali na nyumbani mpaka likizo.Nijue Kama faida Ni nyingi kuliko...
Wana jamvi naomba msaada ikiwa kuna yeyote aliyeomba hizi scholarship za Turkey. Tatizo langu ni katika kipengele cha education information ambapo nimejaza kila kitu lakini system inaniambia...
[emoji625] HOSPITAL YA MAWENZI IMETANGAZA NAFASI KIBAO ZA KAZI WANAHITAJIKA WAFUATAO
[emoji818]Maafisa Lishe
[emoji818]Watunza kumbukumbu
[emoji818]MaFundi vifaa Tiba
[emoji818]Wateknolojia...
Za kushinda wapendwa
Moja kwa moja kwenye maada.
Leo nipo bar na nimewaona walimu wengi sana hapa Ambao tunafahamiana .
My take nini kimetokea kwa walimu wetu wapendwa and way wafanye kama...
naam poleni na shamla shamla za jana siku ya wafanyakazi..
naitaji kujua taratibu za kufata kwa aliedisco chuo kikuu anataka kuomba diploma je afate utaratibu upi??
ahsanteni
Jaman ningependa kusaidiwa,
Kama umeshalipa pesa kwa ajili ya mtihani wa TAIFA kwa ngazi ya CHETI bahati mbaya ukateleza na visupplementary eti Kuna kulipa tena fedha ili ufanye upya mtihani au so...
Habari wadau..
Nina ndugu yangu amemaliza kidato cha sita mwaka huu. Ufaulu wake ni kama inavyoonekana hapo chini..
Physics - C
Chemistry - C
Adv/Mathematics - A
Ni kozi gani hasa za Engineering...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.