Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
lugha yaani kiingereza na kiswahili katika shule za msinginza umma kama ambavyo wamiliki wa shule binafsi hufanya?
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Habari wakuu! Katika ajira mbadala za WAALIMU, zilizo toka 27/4/2019. Nime bahatika, baada ya KUSOTA Sana, na kwa mbinde SAAANA! Yaani acha tu, mengine si ya kuweka online! Naomba anaye...
2 Reactions
131 Replies
14K Views
Jamn naombeni kuuliza hiv nacte wanaanza lini udahil kwa vyuo vya diploma na certificate kwa mwaka huu 2019. Pia je ni vigezo gani vya ufaulu kujiunga na course ya clinical medicine dplma
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa wale wazoefu waliowahi kuishi hostel na kisha kupanga getto mtaani, wapi panafaa zaidi kwa kupunguza cost za maisha? Kuna faida gani kukaa getto especially kwa maisha ya Dar es Salaam...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
MED GADGETS_TZ: IPO CHINI YA WANAFUNZI WA UDAKTARI CHUO KIKUU MUHIMBILI: Tunahusika na uuzaji wa vifaa muhimu vya mafunzo kwa wanafunzi wanaojiunga Kozi za afya katika vyuo Vya afya Tanzania...
1 Reactions
34 Replies
43K Views
Habari zenu Wana JF. Heri ya Mwaka Mpya wote. Ni matumaini yangu wengi wetu hatujambo na tunaendelea kusherehekea vizuri mwaka mpya, na wale ambao kwa namna moja au nyingine hawako salama. Mungu...
1 Reactions
27 Replies
10K Views
2+5=7. 6+1=7. 3+4=7. 7-0=7 7+0=7. 9-2=7. 8-1=7. 11-4=7 15-8=7 14/2=7. 21/3=7. 70/10=7 7x1=7 *[emoji871]What is my point??* *[emoji871]My point is that there are so many ways of getting to your...
1 Reactions
6 Replies
721 Views
Mambo vp brothers & sisters...!! Ni mimi hapa mdogo wenu Falih kutoka pande za mbagala, leo nipo humu ndani kuomba ushauri wenu wadau wa ELIMU juu ya wazo langu katika safari hii ya elimu yenye...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
The Pan African University is an initiative of the Heads of State and Government of the African Union. It is a Premier continental university network whose mission is to provide quality...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Habari za saa hivi wapendwa wanajamii forum natumai wengi wetu ni wazima wa Afya Niende moja kwa moja kwenye mada husika, siku za hivi karibuni nimetoka kufungua account bank ya crdb na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
habari zenu wana jf ndugu naombeni ushauri.Nataka niapply chuo intake ya September diploma ya pharmaceutical science nikitegemea kuajiliwa je ajila zake vp sabab sina pesa za kutosha kujiajil...
0 Reactions
2 Replies
703 Views
Wana jforum naomba kufahamishwa km foundation course inatumima miaka hii ya sasa na huwa inakuwaje kuwaje.?? NB jukwaa la elimu usijibu kidaku mbona majukwaa ya udaku yapo tu hujui kitu kaa pita...
0 Reactions
1 Replies
891 Views
WAakuu naomba kuuliza ni namna gan naweza kubalisha user name yangu???
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Asalaam aleykum! Wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mimi nililipia hela ya mitihani mitatu pamoja na hela ya usajiri mwaka jana lengo likiwa mwaka huu mwezi wa kumi na moja nifanye...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kujua makampuni yanayohusika na mambo yaliyondani ya kozi hiyo, pia kwa wanoijua vizuri kozi hii walau tushare ideas
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimesikia eti alama za ufaulu ni kama zifuatazo by Ndalichako Bungeni. A: 85-100 B: 75-84 C: 70-74 D: 61-69 E: 51-60 S: 35-50 F: 0-34 Tusubiri kama ni kweli. Kuna kutu kimejificha ...
1 Reactions
66 Replies
32K Views
Laki tano ya chuo hasa ya boom sio pesa kabisa ndani ya week 1 au 2 unakuwa mweupee peee, sijui zina nini zile pesa aisee.
4 Reactions
136 Replies
18K Views
Wanajamii napenda kujulishwa kuhusu kuendesha shughuli za kusimamia mizani-daraja ya magari, asanteni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wapendwa mlio na uzoefu wa kazi ya ualimu, mimi nimemaliza chuo mwaka 2016, lakini toka mwaka huo nimekua nikifanya mambo yangu (teaching private schools) toka mwaka huo hadi sasa ambapo...
1 Reactions
8 Replies
887 Views
Selection kwa gov schools ni muhimu kwa sababu kama mtoto atapata shule kama Ilboru, Kibaha, Mzumbe, Kilakala and the like, sina haja ya kulipa milioni 9 Feza au milioni 4 Marian. Please do it so...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom