Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu kwanza nipende kuwashukuru tangu natuma maombi ya chuo mlikuwa na mimi mdogo wenu kwa sasa nasoma ifm nachukua it mwaka wa kwanza napenda kupata ushauri kutoka kwenu kuhusu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Samahani wanajukwaa. Naomba mwenye vitabu au kitabu mojawapo kati ya tajwa hapo juu ashee hapa au anielekeze jinsi ambacho naweza kuvipata, soft copies. Imekuwa challenge sana kupata vitabu hivyo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu niende kwenye mada moja kwa moja sijaona umuhimu wa mtu kumaliza kidato cha nne na kwenda kidato cha tano na sita kupoteza muda kwanini isiwe mtu akimaliza kidato cha nne asiende VETA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu ninataka nianze mafunzo ya driving ( usafiri wa kawaida, sio mabasi wala magari makubwa) hapo VETA chang'ombe mwezi wa saba mwishoni, je gharama zake zikoje na muda mpaka kuhitimu? Na je...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Nini sababu ya mtu aliyepata divisheni ziro kutopewa cheti cha kidato cha nne au cha sita? Si ni matokeo aliyoyapata baada ya kushiriki mitihani? Kitamsaidiaje, hiyo si ni yeye mwenyewe atajua...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Tafiti nyingi zinaonyesha kuwa wakazi wa maeneo mbalimbali wanaoishi maisha marefu zaidi duniani kama vile Japani, Italia na Marekani, pamoja na mambo mengine, wanajiepusha na matumizi ya vileo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kuuliza je kwa mwanafuzi ambae hataenda JKT itakuwaje atakapotaka kujiunga na chuo kikuu kama atafaulu
0 Reactions
9 Replies
954 Views
Nini sababu ya mtu aliyepata divisheni ziro kutopewa cheti cha kidato cha nne au cha sita? Si ni matokeo aliyoyapata baada ya kushiriki mitihani? Kitamsaidiaje, hiyo ni yeye mwenyewe atajua...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Nataka kufanya tour na wanafunzi wangu huko kwenye Makumbusho ya Isimila Iringa. Wiki ya Pili Sasa nahangaika kupata mawasiliano yao lakini hola. Nasearch website yao siipati. Lengo niweze kutoa...
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Kwa wale wahitimu wa darasa la 7, kidato cha NNE na Sita Mkuu wa chuo cha BRIGHT SMART STAR VOCATIONAL TRAINING CENTER kilichosajiliwa na VETA kwa namba VETA/MC/RC/110/82 kilichopo jijini Mwanza...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nimefikilia sana kuhusu suala la kusomea cousre mbalimbali lakini nimeona bado zinachangamoto za ajira hivyo nikaona bora nichague course za veta ili niweze kujiajiri mwenyewe au kuajiriwa hivyo...
0 Reactions
2 Replies
977 Views
2005 wakat naenda form one niliambiwa Boys ni shule ya kijeshi.. Kidogo nigome kwenda, nafika naambiwa jeshi lilishaondolewa tangu 1997 (jaman wale mliobahatika kulikuta jeshi, maisha...
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Wakubwa chuo gani Tanzania kiko vizuri kiutendaji na kiufundishaji, Naomba majibu yenu. Andika tu jina la chuo
0 Reactions
15 Replies
3K Views
E
Explain the Institution which undermining Women in Tanzania
0 Reactions
4 Replies
728 Views
Kiswahil C Bible knowledge C English D History D Geography D Civics F Mathematcs F Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kipindi cha serikali ya awamu ya nne,serikali ilitilia mkazo wa kuandaa walimu wa sayansi,baada ya kuona walimu wa Physics,Chemistry, Biology na mathematics kuna upungufu mkubwa mashuleni.Moja ya...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Hello wana jamvi Good morning Kwanza kabisa nafurahi kuona matokeo NBAA yametoka vizuri, kwa wale ndugu zangu ambao mmefanikiwa kuvuka Module E na kuingia Module F nimewaandalia kitu kizuri...
5 Reactions
25 Replies
14K Views
Kwa Callender ya Nacte Siku ya tarehe 15 may 2019 ni ufunguzi wa Udahili. Majira ya saa sita usiku 15 may 2019 nilifata utaratibu wote wa Application na kukamilisha nikachagua vyuo vitano...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
[emoji95]only for great thinkers[emoji95] Fikra pevu forum: Ni jukwaa linalohusu mijadala muhimu kama:- 1)Habari za kielimu: University and scholarship application etc. 2)Fursa za kijamii...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom