naomba kuuliza kuhusu wale wanaorisit kama private candidate, nao wanapangwa form five na serikali kama watainiwa wa school candidate wanavyopangwa na serikali?
na je, post zao zinarushwa mtandaoni?
*HESLB MAOMBI YA MIKOPO 2019*
*[emoji599]HESLB BREAKING NEWS: BODI YA MIKOPO YATANGAZA RASMI MUONGOZO MPYA WA MAOMBI YA MKOPO KWA MWAKA 2019*
*▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬*
*[ Download PDF File] -MUONGOZO...
Sasa kama muislamu uko North pole unafanya research na jua halizami kwa Ramadhan yote utafanyaje hapa?
BBC News - Dubai Burj Khalifa: Ramadan fast 'lasts longer high up'
A drawback of the...
Bodi ya Mikopo ya WanafunzI wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza mwongozo wa utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2019/2020 ikiwa ni maandalizi ya kukaribisha maombi ya mikopo kwa mwaka ujao...
Habari gani wakuu, nimehitimu kidato Cha nne mwaka Jana na ufaulu wangu ni Kama hiv; Chem=C, Bios=C, Geog=C, Engl=D. Maths=D, Hist=C, phsics sikusoma ila Cha ajabu ni kuwa nimechaguliwa HKL ilhali...
Kwenu wadau;
Nimehakiki cheti changu cha kuzaliwa RITA kwa ajili ya mkopo 2019/2020 na majibu yamerudi na cheti kimeshapigwa muhuri.
Lakini nimegundua kuwa jina langu ninalolitumia katka vyeti vya...
Habari za jioni wandugu? natumai mu wa zima wa afya, naomba kusaidiwa mawazo yenu, napenda nisome degree ya ustawi wa jamii kwa sasa nina diploma ya utawala katika serikali za mitaa, kwa wale...
Wakuu habarini za muda huu... samahanini naomba kuifahamu shule ya secondary Nangwa, kwanza location ya shule, hali ya hewa mazingira ya kujifunza na kujisomea kwa mchepuo wa PCB pamoja na...
mdogo wangu ni miongo mwa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga vyuo vya ufundi na biashara!
Kinachotatiza, dogo hakusoma commerce wala bookkeeping,alisoma masomo ya Sanaa but tunashangaa kachaguliwa...
Mpya leo 03-05-2019: Hakuna kubadilisha tahasusi mpaka baada ya kumaliza muhula wa kwanza na tena nafasi ikiwepo !
Updates ni PDF ya majina yote hii...
DIRISHA LA MAOMBI KUFUNGULIWA RASMI 15 JUNE - 15 AUGUST 2019. Kwa maelezo zaidi kwa mwombaji pitia mwongozo hapa chini
MWONGOZO WA UTOAJI MIKOPO KWA 2019/2020
Bodi ya Mikopo ya WanafunzI wa...
hello wanabodiii
Kuna dogo kahitimu kidato cha nne last year kachaguliwa kujiunga Tanzania institute of accountancy (TIA) mtwara cumpus kusomea basic technician certificate in procurement in...
habari ndugu zangu, kama kichwa kinavyosomeka tafadhari kwa yeyote mwenye uelewa juu ya hili. Mwaka 2017 nilichaguliwa course Fulani pale Mzumbe university but unfortunately nlipata matatizo...
English Swahili Dictionary Part I
a : no indefinite article in Swahili
a few = -chache
a little = kidogo
a lot = -ingi, -engi
a lot of = -ingi, -engi
abandon [vt] = kuacha
abbreviate [vt] =...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.