Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Naomba kuhuliza swali, Mimi ni laboratory technician(soil) nafanya kaz za site,Natumia nuclear gauge kufanyia kazi ila kila nikijaribu kutafuta effect za nuclear geuge sipati majibu sahihi, je...
1 Reactions
1 Replies
523 Views
Aisee hakuna kitu inauma kama kukamatwa na simu alafu unaambiwa uipasue mbele ya shule[emoji24][emoji24][emoji24][emoji119][emoji119] Yani balaa sasa ukute umejichanga changa mwenyewe hata mzazi...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Hii ni Riwaya iliyotungwa na Shafi A. Shafi. Kiukweli huwezi kuchoka kuisoma kama kweli wewe ni mpenzi wa Riwaya. Napenda sana kupitia matukio ya Denge ambaye ni mwanaharakati wa ukweli na...
0 Reactions
26 Replies
15K Views
Dear friends, I am conducting a research in determining trend of eCommerce in developing countries. The purpose of this research is purely academic. Information supplied will be treated with...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kupata kazi ya ndoto zako si jambo jepesi, na inawezekana ikawa ni vigumu zaidi kama hujui waajiri wanataka nini kutoka kwako. Ulimwengu wa wa ajira - kwa kampuni kubwa na ndogo - unabadilika kwa...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Mwenye paper za PCB NECTA 2018 anisaidie. Nitupie PM. au hata hapa kama hutaona shida.
0 Reactions
1 Replies
652 Views
Kijana wangu wa Kike Ana D- 5, C- 2 na F ya Math na Physics. Naomba Kujua Ni Kozi gani Anaweza Kusoma Maana Ana D ya chemistry na Biology. Na Ni Chuo gani Hapa Dar anaweza Kusoma kwa Ada Nafuu.
1 Reactions
18 Replies
8K Views
Mwenye paper za PCB NECTA 2018 anisaidie. Nitupie PM. au hata hapa kama hutaona shida.
0 Reactions
0 Replies
603 Views
wanyama tajwa juu wamekuwa wakitajwa/kutamkwa, mlengwa anaeza taja ngedere akimaanisha tumbili ama akataja tumbili akimaanisha kima sasa anaejua tofauti aje atujuze
0 Reactions
1 Replies
39K Views
Habari ndugu zangu, kwa anayesoma mchepuo wa HGL anaweza akasomea fani gani chuo kikuu ikiwa matarajio yake ya kwanza ni kupata ajira? (Fani ambayo ajira zake si ngumu sana kupata) Pia anaweza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Taarifa hi inasema kutokana namatatizo yaliotokea katika accounts za wanafunzi wanao hakiki vyeti vyao, wanafunzi watatakiwa kurudia kuhakiki hata kama walisha kwisha hakiki hapo kabla, ila pia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wana JF anayejua utaratibu wa kuomba kubadilisha TAHASUSI (COMBINATION) kwa wale waliochaguliwa kidato cha tano anisaidie tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
654 Views
Ndugu wana JF anayejua utaratibu wa kuomba kubadilisha TAHASUSI (COMBINATION) kwa wale waliochaguliwa kidato cha tano anisaidie tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
881 Views
JANGA LA HESABU MASHULENI Somo la hesabu ni somo lenye uwezo wa kuufanya ubongo wa binadamu kuwa na uwezo wa kufikiria na kuja na jibu sahihi pale penye tatizo na hii ndio faida kuu ya somo hili...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Vipi uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa Rita kuna watu wameshapata confirmation? mana naona kama system yao inasumbua
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwema jamen,naomba ufafnuz wa hyo program juu ,mm ni mhitim wa kdto cha sita kwa mchepuo wa HGE ,hvyo ningependa kujua ukisomea hyo program unaweza ukafnya kazi gani zaid zinazohusiana na hyo program?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi form six leaver asipoenda jeshini impact yake ni nini kwa TCU na HELSB and future academic carrier?
2 Reactions
53 Replies
9K Views
SIRI YA MSITARI KATIKA HERUFI ZA F NA J KWENYE ‘KEYBOARD’ YAKO YA KOMPYUTA Kuna msitari kwenye herufi za F na J kwenye keyboard ya komyuta yako. Baadhi ya watu wanaamini kuwa misitari hiyo ni...
8 Reactions
13 Replies
5K Views
wakuu nimenunua kompyuta ya hp juz leo nimejaribu kuweka cd haisomi msaada jamani nifanyeje
0 Reactions
2 Replies
708 Views
Message…msaada Join Instruction Ya Kujiunga Na Chu Kwa Walio Chaguliwa Na Serikali
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom