Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wakuu, naomba mnisaidie wala sihitaji masimango. Nina ndoto za kuishi nje ya Tanzania, naona njia nzuri ya kuishi Ulaya ni kuomba udhamini wa elimu kwenye vyuo vya nje. Nilifeli form 4...
0 Reactions
53 Replies
3K Views
Natamani kujua kuhusu open university ni chuo bora kwa kusoma natamani nikasomee hapo maswala ya ICT? Lakini pia natamani kujua kuhusu course ya ICT soko lake la kuweza kuajiriwa na kujiajiri...
1 Reactions
1 Replies
748 Views
Wakuu.. naomba mtu anayezifahamu courses zote za masters zinazopatikana UDSM ndani ya "College of Agriculture Science and Food Technology". CoAF.. itapendeza ukiorodhesha hapa au kutumia PDF kabisa
2 Reactions
6 Replies
389 Views
Wa kwanza kabisa alikuwa Mjerumani; Wilhelm Röntgen mwaka 1901 Wa pili walikuwa waholanzi wawili; Hendrik Lorentz na Pieter Zeeman mwaka 1902 Mwaka 1921: Albert Einstein Miaka 20 baadaye tangu...
1 Reactions
3 Replies
272 Views
Here you get Kiswahili version to start with followed by English version KISWAHILI VERSION TAASISI YA ELIMU TANZANIA (TET) INAFANYA BIASHARA YA ELIMU NA VITABU KWA MTINDO WA DAWA YA KULEVYA...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Salaam leo jumapili siku ya Bwana. Kwenye mada. Kwa hali hiyo sitegemei kusikia wanafunzi wa degree wamekosa ufadhili huu muhimu wa mkopo wa elimu ya juu. Kwa sababu kama sikosei hili ndio...
0 Reactions
8 Replies
888 Views
Mlio karibu na jikoni tafadhali tujuzeni kuhusu admissions zilizotoka NM- aist, mchakato wa scholarship unaendeleaje? Siku zimeyoyoma na hatupati updates zozote!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Matokeo yapo kama hivi Civ C Bio C Chem B English B Phy D Math D History B Kisw B Nitumie njia ipi ili nitimize ndoto yangu ya MD kupitia Diploma ya clinical medicine
2 Reactions
51 Replies
3K Views
Kozi ya bachelor of science in mathematics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani ukisoma?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau mimi ni mdau wa elimu kama mjumbe wa kamati mojawapo ya shule. Ni takribani kuanzia Januari 2024 fedha za Capitation mashuleni haziingizwi kwa wakati. Mfano fedha ya Machi na Aprili 2024...
0 Reactions
9 Replies
513 Views
Wakuu japo sijapost kwenye jukwaa hili kwa miezi kadhaa sasa hivyo naomba mnipokee tena mtaalamu Deadbody Wakuu najua JF kuna watu wa kila aina ya masomo humu hivyo leo naomba niwakusanye watu...
66 Reactions
828 Replies
111K Views
Mkufunzi Mstaafu na Mbobezi wa Mitaala. Siku chache zilizopita niliona andiko katika mitandao ya kijamii lenye kichwa cha habari, “BILA ‘D’ TANO HAUSOMI FAMASIA” na katika andiko hilo kulikuwa na...
1 Reactions
1 Replies
408 Views
Anonymous
Wadau habarini, Mimi ni mwalimu katika moja ya vituo binafsi vya mitihani kwa private candidates (Mufindi DC). Tuna wanafunzi wa kike waliokuja kwa programu maalumu ya serikali (SEQUIP) ambao...
0 Reactions
0 Replies
260 Views
Hivi kati ya vyuo tajwa hapo juu kipi kinanoa vizuri wanafunzi kinadharia na vitendo katika kozi za engineering?,hasa Electrical engineering.
0 Reactions
56 Replies
50K Views
Habari wakuu wanaJF, nahitaji ushauri kwa wajuzi wa jambo hili Mimi niliishia form 2 nilikatiza shule kutokana ugumu wa maisha ya wazazi wangu hivyo sikubahatika kuendelea na masomo nikaingia...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari ya leo Wakuu, katika kutaka kuongeza ujuzi na wigo katika elimu naomba kupata maoni kwa wale wataalamu. Je kati ya Diploma in Disaster Management na Diploma in Monitoring and Evaluation...
1 Reactions
0 Replies
484 Views
Mimi nilianzia QT mwaka juzi na nimemaliza Kidato cha nne mwaka Jana na matokeo yangu ni lama ifuatavyo, Civ 'C, Hist 'C, Geo 'C, Eng 'D, Kisw 'C, Phy 'C, Chem 'B, Bio 'C, Math 'A. Umri wangu ni...
2 Reactions
43 Replies
4K Views
Habari wakuu Nimechaguliwa electronics eng udsm ngaz ya bachelor naomba kujua hii course imekaaje maana vyuo vingne naona wamechanganya na course zngne kama tele na electrical Pia napenda kujua...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
1. University of Dar es Salaam 2. Sokoine University 3. Nelson Mandela African Institute 4. Mbeya university 5. Catholic university of Health 6. Mwenge Catholic University 7. Moshi Cooperative...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
https://www.you-books.com/ Sample novel: TRUE COLOURS https://www.you-books.com/bookepub/D-Palmer/True-colors/truecolors_fm01.html...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom