Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hellow members, naomba kufahamishwa shule zilizopo dar zinazopokea watoto wenye uhitaji maalum, hasa usonji. Nina mwanangu ana hyo shida
0 Reactions
2 Replies
602 Views
Haloo is me "Mr. Liverpool" again. Baada ya salamu, hebu tuingie kwenye hoja.. INTRODUCTION Mimi ni kijana mwenye miaka 32. Elimu yangu ni Masters ya mambo ya biashara. Ni mwajiriwa wa...
5 Reactions
108 Replies
7K Views
Habari wanafamilia wa jamiiforum ninaomba mniambie chuo kizuri cha cha serikali kinachotoa diploma ya Nursing na Midwifery.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari JF Mnamo tarehe 15 Oktoba 2021 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) walitangaza matokeo ya awali (...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Ni muda mrefu tangu mwezi wa pili kama sio januari tangu mitihani ya leseni ifanyike. Nauliza hivi hakuna mkataba wa huduma kwa mteja? Hivi ninyi mnaweza kuamua tu mkusanye pesa halafu mnakaa...
0 Reactions
4 Replies
313 Views
Anonymous
Baadhi ya Wanafunzi zaidi ya 150 hadi 180 hadi leo hawajapatiwa fedha zao za ‘boom’ la Kwanza (Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), walicheleweshewa boom mpaka ikafika wakati wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam wana jamvi, Samahani naomba kufahamu vituo kama vitatu vya CPA kwa hapa Dar es Salaam
0 Reactions
3 Replies
782 Views
Habari wajf Leo nimeshangaa kuona eti Bado watoto wanafundishwa kuandika barua ya kirafiki mashuleni zama hizi za sayansi na Teknolojia? Kwa maono yangu wafundishwe kutumia simu nanna ya kutuma...
1 Reactions
9 Replies
446 Views
Wakuu, Je, UDSM wana Online masters degree program kwa course ya MBA? Kama hawana, what is the option kwa mtu anayeishi kanda ya ziwa kusoma hii course (MBA -Finance) NAkaribisha ushauri...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Napenda kuchukua fursa hii kuiomba serikali iondoe tofauti kati ya wanafunzi wa kozi ya Clinical Medicine waliomaliza mwezi wa Machi level 6 na wale wa Septemba. Inaonekana ni dhuluma kwa...
2 Reactions
4 Replies
509 Views
Ndugu watanzania naombeni mnisaddie jambo nimeomba Award Verification Number nikapewa muda kisha sikupewa nika update tena zaidi ya mara moja na jina langu lipo verified. Naombeni ushauri kwa...
0 Reactions
0 Replies
234 Views
Vyuo vikuu inakuaje board ya mikopo inaweka hela kwenye account za vyuo wiki mbili zinapita bado chuo haviandai voucher na cheques kupuleka bank wanafunzi wanapata pesa baada ya siku 84 sio 60...
1 Reactions
3 Replies
838 Views
Habari wanajamii, mimi nilihama mwezi wa tatu mwaka huu kutoka halmashauri A kwenda B ndani ya mkoa huohuo na uhamisho wangu ulishughulikiwa na Katibu Tawala Mkoa. Nimefatilia kuhamisha mshahara...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Nimekulia katika mazingira ya uanazuoni. Toka nimeanza kujitambua nilizungukwa na kila aina ya vitabu nyumbani. Niseme tu kuwa nyumbani kulikuwa na maktaba ndogo. Ukubwani napo nimejitahidi kwa...
21 Reactions
89 Replies
14K Views
Suala la serikali kuingiza udini kwenye elimu limepigiwa kelele kila kona. Kuna baadhi ya wadau wanaamini kwamba hata kabla hizi tahasusi za dini kuanza kufanya kazi, kuna uwezekano serikali...
9 Reactions
117 Replies
5K Views
Anonymous
Wakuu, Heri ya mwaka mpya 2024. Barua hii ni taarifa kuhusu ubora wa elimu inayotolewa katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kwa ufundishaji na utoaji wa masomo ya Shahada za elimu zenye...
17 Reactions
71 Replies
7K Views
Mambo ya kubishana chuo gani kimeiva, chuo gani kinatoa wanafunzi cream, n.k. huwa yanaishia vyuoni. Baada ya kumaliza chuo kama huna connection, je chuo ulichosoma kinakuboost upewe kipaumbele...
10 Reactions
89 Replies
5K Views
Wakuu natafuta short course ya monitoring and evaluation kwa hapa Tanzania au East Africa. Naomba kwa anayeweza kunifahamisha chuo au tahasisi inayotoa hii kozi, muda na gharama zake. Pia kama...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Habari zenu wana jamvi naomba mnifahamishe shule nzuri za advance ziwe boys tupu au co-education. Nakama mkieza kuniambia Na ada zao itakuwa vizuri zaidi. Natanguliza shukrani zangu. Sent using...
2 Reactions
17 Replies
13K Views
Wakuu samahani.. Naomba mnisaidie ushauri. Inaeza ikawa so mahala pake.. Niko chuo first year Nachukua bachelor ya human resource Ila sijapata mkopo Me ni fresh toka advance. Sasa nilikuwa...
4 Reactions
114 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…