Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024 Chulalongkorn University Thailand Government Scholarships 2023 Deadline: 31st May 2023 Fully Funded Thailand Government Scholarships...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari. Kwa Wale wenye mpango wa kusoma afya. Naomba nitaje course zisemi zinaajira Ila kwa mwenye upeo wa mbali hizi course zina fursa Sana hasa upande wa afya. Course hizo ni. 1. BIOMEDICAL...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari, Nina mdogo wangu amesoma advance kombi ya PCB na matokeo yapo hivi; Physics-C, Chemistry -B na Bios-B. Je, aende Pharmacy au Radiology na kwa matokeo hayo si anaweza pata Muhimbili?
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Bado naamini Elimu iko kwenye shule za International School tu, kule kuna world clasll education, English medium ni utapeli mkubwa sana. International School watoto hawasomi tu just kusoma kama...
29 Reactions
101 Replies
10K Views
Wasalaam! Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye elimu ya degree mbili, bachelor of education na masters of public administration. Ila maisha yangu yote nimefanya kazi kwenye sekta ya elimu...
5 Reactions
33 Replies
1K Views
Wakuu habari za muda. Mwanangu amekaribia kufika umri wa kwenda shule. nilikua naomba kuuliza. Sylabus ipi ni nzuri kwa ulimwengu huu wa sasa? Ninaombeni Muongozo. Asanteni.
1 Reactions
25 Replies
9K Views
wakuu habari za muda huu,natumai mnaendeleo vizuri na poleni na majukumu ya siku nzima. Naombeni msaada mimi nimemaliza diploma ya clinical medicine(2023)so nimepata changamoto...
2 Reactions
8 Replies
765 Views
Wazazi, hivi huwa mnaketi na watoto wenu na kuzungumza nao juu ya maisha Yao shuleni? J uzi kwenye MITANDAO ya KIJAMII imesambaa video ikimuonesha Binti aliejulikana kwa Jina la "Mariamu"...
0 Reactions
0 Replies
258 Views
Habari za muda huu wana jf. Natumai mpo salama na wenye changamoto za kiafya naamin Mungu atawaponya. Kwanza kabisa natanguliza salamu zangu za pole kwa watanzania wote na familia ya Joshua...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Hivi Tanga technical school advance wanachukua kuanzia ufaulu upi?
0 Reactions
3 Replies
433 Views
Ndugu wana JF naomba Kuuliza, Hii kozi ya Multimedia and Film Production, inayotolewa pale DIT. Ikoje haswa, na ni zipi fursa zake kwenye kujiajiri na hata kuajiriwa. Nimeona kwenye prospectus...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu, nina marafiki wengi walio hitimu chuo mwaka jana lakini mpaka sasa wanahangaika sana na suala la ajira. Nimekuja kugundua kwamba elimu ya Tanznaia haizingatii mahitaji ya soko la...
1 Reactions
10 Replies
551 Views
Natanguliza shukrani, Naomba mnishauri ni Kozi ipi nzuri zaidi naweza kusoma kutokana na ufaulu huu. CIVICS"D" ENGLISH"C" GEOGRAPHY"C" KISWAHILI"C" HISTORY"C" BIOLOGY"C" CHEMISTRY"C" PHYSICS"F"...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Hello habari, Kwa aliyesoma kozi Moja wapo kati ya hizo ipi inasoko Kwa Tanzania,na ipi ni rahisi kujiajiri,je kiwango chao cha mshahara. Kwa ajira ya Serikali kipoje.
1 Reactions
23 Replies
2K Views
SCHOLARSHIP OPPORTUNITY FOR POSTDOCTORAL POSITION Introduction The University of Dar es Salaam, through funding from the AIR Equity InitiativeP3- Africa Programme, is offering a full-time...
0 Reactions
4 Replies
793 Views
Habari ya sasa hizi wakuu, ni matumaini yangu mpo wazima kabisa. Naomba kuuliza wakuu hivi zipo scholarship hadi wenye miaka 30-33
0 Reactions
9 Replies
460 Views
Ni semester ya mwisho sasa (6 semester), performance yangu hapa Duce ipo nzuri sana by the way hadi sasa Kwa semester tano za nyuma na average GPA ya 4.3. Lakini, Sina furaha kabisa kwani ndoto...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu ,Mimi ni mhitimu wa kidato Cha sita,Katika maisha yangu ya elimu nilikuwa natamani niwe daktari wa moyo( cardiologist) sasa matokeo yangu so mazuri kivile kwa PCB nina...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Kindly any member has tutorials on how to use these systems for declarations imports and exports. kwa yeyote anejua pakupata elimu ya jinsi ya kutumia hii mifumo miwili ya forodha katika kutoa ama...
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Top 30 African universities: Times Higher Education reveals snapshot university ranking Institutions from 10 countries feature in a top 30 that previews what a new ranking, being discussed at the...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom