Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Salaam, Mimi ni mnufaika wa mkopo wa masomo kwa asilimia 50%. Nimekuta kwenye mfumo wameniandikia deni la 575,690,250.00. Nimeshituka kwani nasoma miaka mi3 masomo ya ya ualimu na kwasasa nipo...
0 Reactions
5 Replies
514 Views
Wakuu habari za majukumu. Naomba kuuliza kama Kuna ulazima wa kuanza na certificate kwa mtu mwenye matokeo ya o level Physics-C, Chemistry B na biology-B na anataka kusoma diploma in...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
If you master writing skills You become Expert on 1. Writing proposal 2. Writing articles 3. Writing cover letter 4. Writing social media posts 5. Writing WhatsApp status 6. Writing threads 7...
0 Reactions
1 Replies
363 Views
Anonymous
Shule nyingi mpya za serikali zinazoanzishwa na zile za vijijini hazifundishi masomo ya biashara hususan Commerce, Bookkeeping na Economics? . Mfano hivi karibuni serikali ilifungua shule mpya...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Matokeo ya mtihani baada ya kutangazwa nimejaribu kufatilia matokeo shule Kwa shule nimekuja kubaini matokeo hayajabadilika sana na miaka yote lakini zero zimejaa tu kwenye shule zetu za umma hasa...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Miaka ya hivi karibuni shule za high school za serikali katika mitihani ya necta zina piku za private hasa kwenye masomo ya sayansi, kwa mfano mwaka hu shule nyingi za umma hazina div 4 au 0 wengi...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Naomba msaada, naishi na kijana Ambaye Hana baba Wala mama. Nimemlea tangu darasa la kwanza. Uwezo aloo nao ni mkubwa amefauli vizuri darasa la saba Kwa wastani wa A. Natamani apate shule nzuri...
1 Reactions
10 Replies
811 Views
Habari! Nilikuwa naulizia utaratibu wa kumhamisha kijana kutoka Private schools kwenda Governament. Kijana alikuwa anasoma Pwani Shule ya Waamuzi Sec sasa kutokana na changamoto za aliyekuwa...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba mnipe majibu jamani, Kuna hasara gani endapo mtu atasoma form 5&6 (A level) kwa shule za private,?
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Msaada shule za private zanziba
0 Reactions
10 Replies
15K Views
Habari za muda huu ndugu zangu, Ngoja niende kwenye point natafuta mtu mwenye connection ya kupata vyuo Uganda au hata mashirika ya kusaidia kupata chuo huko. Mfano niliongeaga na education link...
1 Reactions
1 Replies
985 Views
Nawasalimu nyote! Mada hapo juu yahusika! Kwa kufahamu kuwa wapo waalimu wa vyuo vya Kati humu ndani, ambao awali walikuwa wanafundisha shule za Sekondari, nimeona nilete ombi hili la kuwasihi...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuna ndugu yangu ni mtumishi wa serikali anataka kwenda kujiendeleza/kuongeza maarifa mengine anaomba msaada wa mawazo je ni kozi gani akasome kati ya hizo? NB: Ana vigezo vya kusoma hizo kozi...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Profesa Esther William Dungumaro ni Mkuu (Principal) wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Mkwawa (MUCE). Kwa namna anavyoendesha chuo hiki cha umma, inaleta mashaka juu ya uadilifu wa uongozi wake katika...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna binti mmoja mtoto wa dada yangu amehitimu kidato cha nne kwa matokeo yafuatayo; CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'D' na anapenda kusoma...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu. Naomba kuuliza kuhusu haya Matokeo ya huyu dogo ataweza kuchaguliwa Form 5 wadau...? Civics D History D Geography C Kiswahili C English D Physics F Chemistry D Biology C...
5 Reactions
86 Replies
4K Views
Habari tena. Kuna ambae alikosa mkopo mwaka was kwanza halafu was pili akapata? Maisha magumu loh
2 Reactions
3 Replies
416 Views
Habari za majukumu ndugu wanajamvi, Naomba kufahamu mwanachama wa mfuko wa pensheni kwa Watumishi wa Umma anaweza kupata mkopo kupitia mfuko huo akitimiza miaka 10 kazini au mpaka atimize miaka...
0 Reactions
4 Replies
481 Views
Anonymous
Kuna kero kubwa tunaipata Wazazi dhidi ya Shule ya Msingi Nyabulugoya iliyopo Nyegezi Jijini Mwanza, tunaomba tupazie sauti ili wenye nafasi zao wapate ujumbe huu. Kila Jumamosi Wanafunzi...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
The African Economic Research Consortium (AERC) was established in 1988 as a public not-for-profit organization devoted to the advancement of economic policy research and training in Africa. The...
0 Reactions
0 Replies
489 Views
Back
Top Bottom