Discuss the strategies that can be taken by the government of Tanzania to ensure that individual or companies in the country are not involved, whether directly or indirectly, in bribery, deception...
Habari za jioni wadau! Naomba mwenye link nayoweza kupata fomu ya kujiunga na shule (joining instruction ) ya Tabora girls kwa form one wa mwaka 2017
Natanguliza shukrani!
Habari ndugu zangu. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24. Nasoma sheria katika moja ya vyuo vilivyopo mkoani morogoro ngazi ya cheti. Dhumuni ya kuleta ishu yangu humu ni kuomba msaada wa mtu...
Zamani mtu mwenye digrii alikuwa ni mtu wa kuogopeka sana. Kwanza ukimkuta mtu mwenye digrii anaongea inabidi wewe ambaye hauna digrii ukae kimya. Tulikuwa tunasema utaongea nini na mtu mwenye...
Hongereeni kwa kufika 2017, Mungu in mwema.
Jamani mdogo wangu amechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza shule ya sekondari Bwiru.
Naombeni kwa anayejua taratibu za shule hii ikiwemo, ada...
Nilichaguliwa mwaka huu kwenda kusoma diploma of education in science but sina pesa zakuweza kujisomesha nataka nijipange mwakani nikasome certificate of medicine je ? Naweza kuapply na...
Natanguliza salamu zangu za mwaka mpya 2017 kwa wana jamii wote.
Mimi ni kijana mtanzania ambaye Nimepata misukosuko katika mchakato mzima wa elimu tangu nikiwa elimu ya msingi.
Nilibahatika...
Kuna Siku niliomba ushauri wa wapi naeza pata shule au centre ya kufundisha Mathematics au Physics Kwan hapa Dar....
Nimepata vijana wawili wanaitaji somA topics zote za form five so kama nawe...
habari zenu,
Toka serikali itangaze kutoa ajira kwa walimu wa sayansi tu na kuwaacha na sintofahamu walimu wa arts, kuna kimya kimetanda toka kwa walimu wa arts tofauti na mwanzo wakati wa...
.habr wana jf..
naomba ushauri/wazo ni kozi gani ambayo inaweza ikanifaa kutokana na matokeo yangu... ninemaliza kidato cha 4mwaka 2011,nakupata dvsion 4ya 30 yaani d4 ya...
Nimekuwa nafuatilia kwa muda mrefu kiasi, namna wenzetu Wakenya wanavyofanya kwenye mambo ya elimu hasa linapokuja swala la Matokeo ya Mitihani Primary and Secondary school.
Matokeo yanapotoka...
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI, WALIMU WA MASOMO YA SAYANSI HAWA HAPA.
Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi, inayoongozwa na Dr.Shukuru Kawambwa, kimtazamo inaonekana kuwatumia...
Jamani wana jamii forum nahitaji ushauri... mimi ni mwanafunzi wa a level form 5 ila shida yangu ipo kwenye academic yangu ani kila nisomapo physics naishia kupata 40 chemistry nayo majanga...
Kama upo chuo na course unayosoma haipo kwenye list hapa chini jiandae kisaikolojia kukabiliana na tatizo sugu la kukosa ajira.
1.ualimu wa arts, sayansi na Mathematics. ..ila ualimu wa arts...
2015 hakika tulipigania....CHICHIMIZI
Mungu alitia wepesi na tukaingia kwenye mifumo basi 2016 na sisi hatukukosea tukaganda na mifumo na tukajaribu kucheza na fulsa ipasavyo...hatimaye tukavuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.