Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
kama kichwa kinavyojieleza hapo maisha ni nini? kibiologia -kwa mwenye uelewa anaweza kunielewesha/kutuelewesha
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Wale tuliosoma na kuhitimu Darasa la Saba shule ya Msingi Kahama, wilayani kahama, mkoani Shinyanga mwaka 1996. Tafazali tuwasiliane bandugu. Mimi ndiye MASHAKA Kisandu (Deogratius Kisandu)
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana Jf. Kwa mtu yeyote au mwanafunzi wa computer science anayetaka kujifunza programming kwa kutumia C++ or Python. I will be glad to hear from you ili niwapatie hizo software pamoja na...
9 Reactions
61 Replies
7K Views
Naomba mwenye mawasiliano na shule ya St James secondary school ya Bukoba anisaidie.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hali zenu wanajamii, Mm ni mhitimu wa Bachelor of science in software engineering. Nimekuwa interested sana na hardware programming, applications za robotics, mechanical na electronics. Nina...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, kesho Jumatatu, Tarehe 11/1/2016. Shule nyingi za umma, msingi na sekondari zinafunguliwa. Hebu tujuzane hali halisi ya shule hizo, na jinsi elimu bure itakavyorahisisha mambo. Kutoka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wasalam,Ndugu waungwana naombeni msaada wa hivi vitabu vifuatavyo Kitabu chochote cha Brian Tracy,na Learned Optimism by Martin Seligimans au any Ispirational Book, nitashukuru sana.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari naomba mawasiliano ya katibu mkuu sbb mwanangu amefukuzwa shule ya sbb wastani wake upo chini 41.natanguliza shukuran za dhati
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Waungwana heshima kwenu. Napenda kujuzwa kuhusu mwaka mrefu na mfupi. Kwa jinsi nijuavyo mimi mwaka mrefu ni pale dunia inapokamilisha mzunguko wake wa kulizunguka jua baada ya siku 366. Ila...
0 Reactions
3 Replies
11K Views
Mimi ni mwalimu wa stashahada natafuta ufadhili wa shirika, kampuni au binafsi ili nisome Shahada hadi masters aliyetayari nitashukuru sana.0757658783.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana Jf Wenzangu. Hivi mnaonaje serekali yetu ikitumia Lugha ya kiingereza kufundishia masomo yote kwenye shule za msingi za serekali? Nadhani itasaidia sana wanafunzi wetu kuelewa lugha...
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Jamani wana JF naombeni msaada wa formula ya kupanga Divisions za matokeo ya mitihani kwenye Microsoft excel yaani mfano Div I, Div II, Div III, Div IV na Div 0.
0 Reactions
22 Replies
45K Views
4 Jan 2017 Baada ya kutembelea chuo cha VETA na kukagua miundombinu ya chuo, nimewasiliana na waziri wa ELIMU Prof. NDALICHAKO katika ziara yake fupi ndani ya manispaa ya kigoma ujiji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sorry wana JF naomba kuuliza hii course ya UDOM ya barchelor in physics ina ajira?
0 Reactions
38 Replies
9K Views
Wakuu natafuta shule hiyo kwa kijana wangu kwa mikoa ya Pwani, Dar, Dom, au Moro. Msaada wenu tafadhali kwa anayezifahamu. Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu ninaomba kuuliza kama kuna mtu ana experience ya kusoma .asters vyuo vya china Roughly cost ziko vipi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MAFANIKIO- ni hali ya kukamilisha lengo au dhumuni ambalo ulikua unatamani kulifikia siku moja. Kila binadamu ana malengo na mipango yake tofauti lakini wote wanafanya yote hayo kwa ajili ya...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani nimeona gazeti la mtanzania la Leo 5/1/2017 limeandika kuwa serikali imefuta Ada elekezi. Nini implication ya hili???
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kuuliza,Wanafunzi waliofanya mtihani wa kidato cha pili mwaka 2016 matokeo yao yamekwisha toka? Kama tayari basi naomba nipate link niweze kuyatazama (maana nimetafuta kwenye website ya...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom