Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
The Japan Foundation for UNU (JFUNU) Scholarship is available for outstanding applicants from developing countries who can demonstrate a need for financial assistance and who are admitted to the...
1 Reactions
1 Replies
685 Views
Swali la kizushi lakini itakuchukua zaidi ya dakika 10 kujibu. Si rahisi kama unavyofikiria. Soma maandishi ya kwenye picha kisha shusha mtazamo wako hapo chini ya picha hii:
1 Reactions
10 Replies
11K Views
Nimekuja chuo kusoma bachelor of science with education but haikuwa priority yangu... Je ninaweza kusoma course nyingine baada ya kumaliza chuo? Msaada jamani.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
walio soma muhimbili kama coz hiyo inapatikana vipi , gharama zao , kwa mwaka, na endapo physics una D " PCB" waweza kusoma coz hiyo huku uki resit somo?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ivi Waziri husika ameshafanya research ya kutosha, na imeandaliwa mitaala inayoendana na Science na teknolojia ya sasa, Je mitaala ni rafiki kwa Shule, Umri, walimu na wanafunzi pia? Wameandaa...
0 Reactions
1 Replies
874 Views
"Kufeli masomo, kufeli kazi, kufeli biashara, , sio uzembe bali uzembe ni kukata tamaa" By Jay Speed
1 Reactions
7 Replies
914 Views
Napenda sana uandishi hasa wa makala, ningependa nijuzwe jinsi ya kuandika au kwa mtu mwenye summary naomba tuwasiliane ili aweze kunisaidia katika hilo. Nawasilisha wanajamvi
0 Reactions
6 Replies
17K Views
Habari zenu wana Jamvi.... Nimeleta mada hii mbele yenu kutokana na kero ninayoiona kwa shule za awali na Msingi ambazo zinaitwa " English Medium " Na kero hii si nyingine bali ni UBOVU wa magari...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mila zimekuwepo siku nyingi sana.Tangu kupatikana kwa mwanadamu ulimwenguni mila zilikuwepo. Hizi mila waliozianzisha waliozianzisha kwa nia nzuri tu ili kudhibiti mienendo ya binadamu na kuleta...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Pesticide management short course kama ipo na wapi inatolewa?
0 Reactions
2 Replies
647 Views
Wakuu, Naomba kujuzwa vinakouzwa vitabu vya literature kwa bei ya jumla, Hasa novels kama vile UNANSWERED CRIES, THE INTERVIEW n.k, Pia plays kama vile THIS TIME TOMORROW, THE BLACK HERMIT, THIS...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
I have tried my level best to examine and find best answers to this question but i have stacked to do so I need you my fellow members of this site to help me, the question is why gender theories...
0 Reactions
0 Replies
486 Views
Nimekuwa nikijiuliza hili kwa muda mrefu sana. Nasubiri kuelimishwa.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
My roommate hates beer. I came late with 24 cans of beer & he didn't want let me in. I don't know much about rules but I know I have a case here. Now, I am so addicted to alcoholic drinking, how...
0 Reactions
4 Replies
594 Views
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania imepokea taarifa kupitia matangazo yanayotolewa na chuo kinachojiita “Japan Bible Institute Graduate School of Theology” kikijitangaza kwamba kinatoa shahada mbalimbali...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Kuna swali najiuliza sipati jibu. Huenda unajibu unisaidie. Ninini faida ya mvu kunyesha baharini?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari, ninachotaka ni kuwatakia masomo mema wanafunzi wote na wa level zote. BACK TO SCHOOL.
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wandugu zangu,Wakubwa shkamoo, Mwenzenu nimekumbwa na tatizo kidogo! Nilikua nimeanza vizuri,sasa naona nashindwa kumalizia Ada yangu ya Chuo,naomba msaada wenu,na Niko mwaka wa Mwisho,Ni...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani vp wadau wauhamisho kuna jipya? Au wamebana tu
0 Reactions
3 Replies
987 Views
Wakuu nawasalimu, Nina shida,mwanangu anatakiwa kwenda form one Dodoma Secondary,ni day school kwa wavulana sasa hana mtu wa kukaa naye day mtu niliyemtarajia akae naye amechomoa last...
0 Reactions
2 Replies
947 Views
Back
Top Bottom