Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ndugu zangu habarini za weekend mimi nina mdogo wangu kamaliza chuo cha serikali tangu mwezi wa tisa diploma ya udaktari katika moja wapo ya vyuo ya serikali vilivyopo nchini lakini kumekuwepo na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TANGAZO KWA UMMA: KUHUSU WAHITIMU WA SHAHADA NA STASHAHADA ZA UALIMU (SAYANSI) WALIOTAKIWA KUWASILISHA VYETI TAREHE 12/12/2016 WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA ILITANGAZA KUWA WAHITIMU WA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Elimu ya Afrika, Mfirisi wa viwanda na Ugunduzi Elimu ya Afrika, Mfirisi wa viwanda na Ugunduzi
1 Reactions
0 Replies
1K Views
tuongeze bidii katika elimu ndo ufunguo wa maisha.
1 Reactions
0 Replies
460 Views
Hivi kuna Utaratibu mpya unaozuia mtu kureseat vpnd vichache mf. 3 Au 4. Kwa maana inatakiwa vpnd 7 na kuendelea au Utaratibu ukoje Sasa 2017?.
0 Reactions
2 Replies
901 Views
Mimi nafanya kazi ya ulinzi naingia usiku tu kazini na naingia Mara mbili kwa wiki usiku na chuo ninacho karibu sana hapa je naweza soma hii kozi ? Maana naipenda sana . Je ? Naweza kuwa na ingia...
0 Reactions
37 Replies
7K Views
Wakuu naomba msaada wa kukipata kitabu hicho (BUSINESS ACCOUNTANCY 2) kwa anaeuza au anafahamu nitakipata wapi kwa hapa Dar please.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ninaitwa Juma Hassan, kijana mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam-UDSM 2015 katika kitivo cha humanitia na sayansi ya jamii. Kutokana na hali ya serikali kupanga bajeti bungeni na kuipitisha...
11 Reactions
22 Replies
3K Views
Ningependa faham degree ya pharmacy na degree ya doctor in animals ni ipi inatija in terms of employment from formal and informal sectors also kwenye self employment.
0 Reactions
19 Replies
8K Views
Habari zenu wana jamiiforum.. Yeyote anayefaham kuhusu hatua za kufuata ili kuweza kujiunga na kozi za udereva katika chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT) nahitaji msaada wa maelekezo
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Wakuu, amani na iwe kwenu.... Naombeni mwenye muhtasari wa somo la kiswahili kwa shule ya msingi anisaidie hapa, nipo sehem ya mbali kijiografia nimeshindwa kuipata kwa namna nyingine. Vilevile...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Chuo Kikuu cha Oslo, nchini Norway kinatoa ufadhili kwa masomo ya shahada za uzamili. Maelezo zaidi shusha hilo faili.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba huu uzi uweze kutukutanisha sie wapenda kusoma novel za fasihi haswa zile za English.. Kuna novel nmezikumbuka ila sijui wapi kwa kuzipata kwa kweli.. Kitu kama IT IS POSSIBLE? ya Ole...
3 Reactions
36 Replies
4K Views
taarifa kamili zitakuja baadae Paw saidia ku edit title, si makamu mkuu wa chuo ni muhadhiri
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wenye shahada ya sheria na wanaotaka kuongeza viwango vyao vya elimu inawahusu sana. Pakua faili kwa maelezo zaidi!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa vigezo vya elimu dunia na akhera profesa anapatikanaje?
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Tafadhari naombe mnisaidie ikiwezekana na mifano.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom