Msomaji mmoja aliniandikia hivi majuzi akidai mwanae hamsikilizi. Kwa mujibu wa mzazi huyu, pamoja na kufanya jitihada za kumwelekeza mwanae mambo muhimu ya kimaisha, bado kijana wake huyo...
Habari za leo wapendwa,samahani naomba kujua taratibu za uhamisho wa ugonjwa nina mdogo wangu ni mwalimu amepata ugonjwa wa kifafa ukubwani so Dr. Kamshauri aombe uhamisho na report ya ugonjwa...
Katibu wa baraza la mtihani ameyatangaza matokeo ya darasa la saba mwaka huu 2015 kiwango cha ufaulu kimeongezeka kutoka 62 hadi 67 asilimia.somo la kiswahili ndo linaloongoza kwa ufaulu huku...
Mimi ni kijana wa 18yrs now, Nimemaliza kidato cha 4 2015 na nikafanikiwa kufaulu ila sikuchaguliwa kijiunga kidato cha tano.. Kwahiyo nikapanga ntaapply chuo lakini wazazi hawakuwa na pesa...
Ingekuwa poa sana kama Tanzania kungekuwa Shule za fani mbalimbali mfano fani ya useremala.
Mtoto anaanza kusoma uselemala tangu anapokuwa na miaka mitano mpaka anapofika miaka 14 hapo ni fundi...
Naombeni msaada wenu kimawazo. Cheti changu cha kuzaliwa kina jina tofauti na vyeti vyangu vyote vya shule kuanzia S/m had form six ( Hivi vina majina sawa isipokuwa vinatofautiana na kile cha...
Applications are invited for TGCL scholarship available for entry into a postgraduate study programme in law (LLM or PhD). Applicants from Burundi, Kenya, Rwanda, South Sudan, Tanzania and Uganda...
The University of Bonn and the United Nations University Institute for Environment and Human Security (UNU-EHS) are offering up to eight fully funded scholarships for developing countries. These...
Kwa first year aliepo dar, usije ukakosa fulsa ya kusoma chuo kwa vitu vidogo... Jinsia ya kike tu... Me ni kijana around 24s, kama unauwezo wa kulipa Ada, njoo geto tusaidiane maisha. Kila siku...
Mafanikio ya kitaaluma, kwa kiasi kikubwa, yanategemea namna unavyoweza kusoma na kukumbuka kile ulichokisoma. Kusoma kwa bidii na kuelewa unayoyasoma ni muhimu. Lakini kama huwezi kukumbuka...
So I have to assume kuwa watanzania wote waliosoma Uganda ni very bright. Sijui nyie mnapimaje uwezo wa Watanzania waliochemsha huku Bongo na kuamua kukimbilia kwenda kusoma Uganda, maana to my...
Kuzipata pesa na kuzitumia nje ya malengo yako hii hukutengenezea majuto baadae kipindi ambacho unakuwa huna nguvu wala uwezo wa kuzitengeneza pesa kama zile za mwanzo.
Wengi hufeli katika...
ningependa kujuzwa ,vyema ,
1- kwa daresalaam na morogoro ni chuo gani kina toa cause hii ya clinical officer kwa ada nafuu, na uhakika wa kujipatia ajira.
2. Naweza kusoma ASSISTANCE MEDICAL...
Habarini wana Jamii forum.Samahani kama nitakua nimekosea.Nilikua naombeni kama kuna mwenye mawasiliano na MKUU WA CHUO CHA WAGANGA WASAIDIZI(CO) na MANESI CHA DCT MVUMI DODOMA ANISAIDIE...
Mkuu wa shule moja ya sekondari ya kata kwa makusudi ampeleka mwalimu wa somo la Geography akasahihishe mtihani wa Taifa wa kidato cha pili somo la Geography huku akiwaacha walimu wa somo...
Habari zenu wakuu,
Ningependa kuja kuwa mwanasheria, yani nisome sheria. Kiukweli sijafahamu juu ya masomo yanayotakiwa kusoma mtu wa sheria.
Msadaa kwenu wanajamvi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.