JF habari,
Kwa anaejua mambo ya research report kuna kitu kidogo sana nimekwama and nahitaji msaada wa haraka sana,najua experts hamtashindwa hili.
Anaejua aniambie nimfate pm.
Wana JF
Naomba kupata Details za kutosha kuhusu chuo cha bandari Dsm, kuanzia ada zake,E-mail yake hostel, mazingira yake, mahali kilipo na ubora wa kozi zake. samahani km nitawakwaza ila nahitaji...
Ulishawah kujiuliza kwanini kila ukiweka malengo ya kutimiza mwaka huu yanafeli??
Kila ifikapo mwisho wa mwaka unajikuta upo pale pale unarudi?
Je vitu gani vinakufanya usitimize malengo yako...
Nimepata taarifa kuwa hakuna field kwa first year ..je ni kwa faculty zote au ni baadhi je vipi kwa wanaosomea ualimu hatutaenda field??msaada wenu wakuu
Heshima zenu wakuu.
Naomba kuuliza ni utaratibu gani wa kufata kupata loan payment status ya marejesho ya mkopo wa HESLB. Nalipa toka 2014 sasa na hili ongezeko nataka kujua namaliza lini wasije...
Habarini,
Jamaa wangu kaniambia kuwa hata waliomaliza medicine ambao kwa sasa walitakiwa wawe wakitoa huduma za kitabibu wako mtaani.
Kuna ukweli wowote?
Habari zenu wana jf, kwanza napenda kuishukuru wizara ya elimu katika kufanikisha kutoa matokeo ya kidato cha pili. Pili napenda kuwapongeza Wanafunzi hawa waliofanya mtihani wa upimaji wa kidato...
Ukweli hii wizara imejaa ubabaishaji mwingi shule zimefunguliwa lakini matokeo ya kidato cha pili hayajatoka sijui hawa wanafunzi wanaingia kidato cha tatu bila kujua matokeo yao huu ni...
PUBLIC NOTICE
Admission for March/April 2017 Intake through Central Admission System (CAS)
The National Council for Technical Education (NACTE) is a statutory body established under the National...
Mimi nilichaguliwa mwaka huu kusoma diploma but sijaenda kwa sababu sina karo nimeenda ofisi za NACTE ili wanitoe kwenye orodha ya wanafunzi waliochaguliwa 2016/2017 ili niapply upya mwaka huu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.