Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Scholarship Positions and Internships |
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwaka 2014 board ya mikopo ya mikopo ilisimamisha kwa mda wa miezi mitatu hivi kukata malipo ya mikopo kwa wadaiwa kupisha mabadiliko ya utaratibu mpya wa ulipaji mishahara ambao ulikua...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Inasikitisha sana wizara ya elimu badala ya kushughulikia matatizo ya elimu wamekazana kutangaza mara kumi bora mara kushusha walim wakuu madaraka. Hivi katika shule yenye mwl mmoja atafanyaje ili...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
MAFUNZO YA HALI YA HEWA (TABIA YA NCHI) By: Abineri Mwanuke KARIBU KATIKA MAFUNZO YAHUSUYO MABADILIKO YA TABIA YA NCHI. FIGHT AGAINST GLOBAL CLIMATIC CHANGES COMPAIGN Tembelea...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Kwa wale waliosoma masuala ya geography, na sayansi kwa ujumla, mnakaribishwa MWEKA chuo cha Utalii kinachotoa elimu ya utalii na kukuhakikishia ajira pindi umalizapo masom yako pia field kwenye...
3 Reactions
11 Replies
9K Views
Naombeni msaada wenu. Mimi ni mwalimu mwaka huu nilitarajia kwenda kujiendeleza kusoma masters ya education ila mpaka leo hii sijapewa ruhusa wanadai eti nikasome open university. Sasa swali...
2 Reactions
96 Replies
13K Views
Wadau wa Elimu nashindwa kuamini kuwa kweli tumeshindwa kuboresha Elimu katika Nchi Yetu.Binafsi naamini matatizo makubwa ya Elimu Yetu ni pamoja Na Lugha Rasmi ya kufundishia toka Shule ya msingi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Watu husoma na kusoma hadi tunaambiwa wamepata "degree", napenda kufahamu kwa kutunukiwa hiyo "degree" huwa wamepata nini haswa. Maana tunasikia tu huyu ama yule ana "degree", ndo kuwa na nini?
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Wadau nawatahadharishe kitendo cha kukosea na kumpeleka mwanao shule ya kata kitaigharimu elimu ya mwanao. Mwanangu toka ameenda shule wiki iliyopita amefundishwa somo moja tu tena kwa kiwango cha...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Samahani wadau mimi ni mwl wa biashara syllabus mpya kuanzia kidato cha kwanza kuna mada ya Entrepreneurship mpaka kidato cha nne je ni vitabu gani ni vizuri vyenye hii mada..
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari zenu wajumbe: Nilihitimu degree ya ualimu wa sanaa mwaka 2015. Masomo ya kufundishia ni eng na literature. Sasa kwa hali ilivyo inaonekana hakuna ajira kabisaa kwa wana art na lugha...
7 Reactions
29 Replies
4K Views
Leo Tar 16 /1/2017 bado siku moja ifike 17/1/2017 mwisho wa kufanya marekebisho au kutuma vyeti
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi ni mwanachuo hapa nchini. Am always on stake of questions hivi tuna taifa la wasomi au wataalamu wakuibia majibu wasio weza hata kueleza ubora wa elimu wanayoipata vyuoni. I have witnessed...
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Napata shida sana kwa sababu nawaza kama nikifaulu vizur form four nisomee nini kwa maisha ya sasa hivi mawazo yenu mhimu sana
2 Reactions
77 Replies
7K Views
Heshima kwenu wadau. Ninaishi kiluvya natafuta kazi ya ualimu kama kichwa cha habari kinavyojieleza, iwe serekalini au private naomba msaada kwa yeyote atakayeweza kunifanikisha kupata kazi...
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Nachukuwa fursa hii kuanzisha utaratibu wa kuanzisha group la wenzangu tuliosomea kozi ya maendeleo ya jamii,Sociology na Social work.Kwa kuzingatia changamoto nyingi zinazotukabili hususan za...
0 Reactions
0 Replies
895 Views
Ivi nikweli uhamisho kwa watumishi wa umma umesitishwa au umefutwa?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wadau nipeni gharama za usajili wa chuo cha Kati kutoka veta kinachofundisha masomo ya hotel
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wakuu Natumai ni wazima na poleni na pilika za maisha na masomo Kuna tatizo moja limenikuta siku ya jana nilipofika chuoni (University) kufuata cheti. Kiufupi ni kwamba graduation ya chuo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom