Guys nilikuwa naomba msaada wenu...nasoma LLB mzumbe...na ningependa nihamie LLB UDSM 2nd Semester this year 2017 au 2nd Year 2017-18...when will it be possible and how...!?
Please nasikiliza...
OFID’s Scholarship Program sponsors outstanding young students from developing countries who wish to pursue a Master’s degree studies in a relevant field of development, from any recognised...
Wakuu poleni na kazi na majukumu pia, nimeona ni bora niulize hivi hawa vijana wetu wenye diploma wao hawastaili kupata mikopo wakati sifa pamoja na vigezo wanavyo manake nashindwa kuelewa mpaka...
Kuna shule imefutiwa usajili lakini barua ya kufutiwa imepigwa mhuri Wa neno 'siri' juu na chini.
Nimeiona kwa macho.
Je huu ni utaratibu au? Kwann isiwe public info.?
Nimechunguza nimeona...
Wadau nauliza kama kuna chuo unaweza kusoma kozi za sayansi(engenieering) au elimu ambapo utasoma evening classea bila kuhitajika kabisa muda wa kazi?
maana kuna vyuo vinatoa evening classes...
Poleni kwa uchovu wa kazi ngumu, hongereni kwa kazi nzuri ya kulitumikia taaifa enyi nyinyi watumishi wa wizara ya elimu.
nina wazo ktk zoezi la sasa la uhakiki wa vyeti vya wahitimu wa fani ya...
Türkiye Scholarships are intended for candidates from all over the world who want to pursue Master and PhD studies in Turkey. More ~> 2017 TÜRKİYE SCHOLARSHIPS GRADUATE PROGRAM APPLICATIONS –...
Mimi ni mwanafunzi wa advance form 5, O-level nilisoma sayansi ila kwa sababu nilifeli mathematics nikapangiwa comb ya arts ambayo ni HGL.
Kiukweli sipendi arts na shule wamegoma kunibadilishia...
Ndugu wapenzi ni masikitiko yangu sana kuandika hivi kwa kumjulisha ama kumsaidia prof anaependwa sana na watu wengi kwa vioja vinavyotendeka pale chuoni kwake..niliskitika sana kusoma taarifa...
Jaman watanzania Na wasio watanzania mm ni kijana wenu nmehitimi elimu ya sekondar mwaka 2013 katoka hali ambayo mpaka Leo sitak kuamin nilionekana nmefel ila nnajiamin ninaulewa zaid ya wengine...
Kutoka kwa maoni ya wachangiaji.
1. Udsm ni chuo kinacho pinga mabadiliko.
2. Kozi nyingi zimepitwa na wakati na kozi mpya zenye uhitaji ktk soko hazifundishwi.
3. Chuo kimekosa ubunifu ktk...
Habari Zenu Waungwana!
Naomba Msaada wa vitabu vya Napoleon Hill,isipokuwa vifuatavyo Think And Grow Rich,Succes Through Positive Thinking,na Outwitting The Devil,hivi ninavyo,pia...
Hii ni zaidi ya science.... Bila programme hii ya degree ... Tanzania itabaki kuwa jamvi la wageni.
Prof Ndalichako unajua ujua umuhimu wa shahada hii,?
Mwalimu hayati J. K. Nyerere enzi hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.