Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
heshima kwenu wa janvini...niko katika optional za kusoma moja wapo ya vyuo tajwa hapo juu sasa bado sijajua kipi n best kwa engeenering..japo sijapata sifa za vyuo vya mbali kama MUST na...
0 Reactions
55 Replies
13K Views
Nimekua nikifuatilia mwenendo wa mkuu wa nchi tangu kipindi anatushawishi tumchague.Alikua mtu wa uhakika na wengi waliamini utekelezaji wa anachokiahidi.Moja ya vitu muhimu alivyoahidi ilikua...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wana jf, Naona deadline ya kuppeal mkopo imekaribia, sasa je kuna uwezekano wa kupata mikopo ya masomo maana maisha ya chuo bila mkopo ni kazi hasa tuliotoka familia za kimaskini.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mheshimiwa alitumia busara kubwa sana, kujaza madawati shuleni huku akijitahidi kusitisha ajira za walimu. Toa maoni yako!
0 Reactions
1 Replies
885 Views
Wadau naomba kujuzwa Historian fupi , Elimu Na Utumishi wa Mbunge mteule Annie Kilango Malecela Kwa anayejua.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ebana kuna wadau waliliia njaa Decemba mwanzoni ,wakasema bumu la pili likiingia tu,wananilipa. Kuepuka lawama nikawatoa.Mmoja kanilipa before christmas,nafikiri kwa source nyingine.Sasa mwingine...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wale wenye kumbukumbu Bila Shaka watakumbuka ID hii bas niulize kuhusiana na hio Mada usiulize kua nimerudi lini Tanzania to London uliza maswali yenye tija karibu Sana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kijana anataka kusomea fani ya ualimu wa kufundisha kwenye vyuo vya udereva wa magari. Je ualimu huo hutolewa na chuo gani Tanzania? Gharama yake ni bei gani? Mafunzo yanatolewa kwa muda gani...
1 Reactions
4 Replies
7K Views
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, imepokea fursa za masomo zinazodhaminiwa na Serikali ya Brazil katika ngazi ya Shahada ya Kwanza, Shahada ya Uzamili (Master...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu habarini za weekend mimi nina mdogo wangu kamaliza chuo cha serikali tangu mwezi wa tisa diploma ya udaktari katika mojawapo ya vyuo ya serikali vilivyopo nchini lakini kumekuwepo na...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama unashida na kitabu chochote kile cha Kiingereza lugha na hasahasa maswala ya IT lakini pia na mambo mengine, wasiliana na mimi kupitia inbox yangu, NOTE: PDF format only! Bei kuanzia...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Wakuu wa jamvi hili nahitaji maombi yenu je chuo gan nje ya afrika kinacho toa kozi tajwa hapo juu kama katika nchi za nje kama vile china na other country ningependa kujua gharama za ada na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kweli hawa wanafunzi huwa wanaibiwa yaani wanapewa majibu wakati wa mitihani leo nilikuwa naangalia kipindi cha sikonga kinachorushwa na EATV, katika maswali waliyooulizwa hakuna mwanafunzi...
12 Reactions
104 Replies
19K Views
Kila mtoto ana kipaji. Ingawa ni kweli kuwa watu wengi hawatambui vipaji vyao, hiyo hata hivyo, haimaanishi hawana vipaji. Zipo sababu nyingi zinazofanya watu wasitambue vipaji vyao. Kwanza, ni...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Wakuu habari zenu, naomba msaada mbinu gani mnazo tumia kukacover physical geography form three kwa muda mfupi.
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, matokeo ya upimaji wa kitaifa wa kidato cha pili yameachiliwa na NECTA. Wanafunzi wamefaulu kwa asilimia 91 ikiwa ni ongezeko la asilimia mbili...
7 Reactions
119 Replies
76K Views
Unafanya kazi kama nani ? Na ina faida kweli ?
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Ukweli nashindwa kuelewa nacte kazi wanayofanya ukingia kwenye website yao unakuta matangazo ya mwaka Jana ambayo yameisha mda wake kwa wasiyatoe na kuweka update news za mwaka huu ukweli kati ya...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Tafadhalini wana JF naombeni mnisaidie kufahamu kuhusu uhamisho wa walimu, je nikweli mchakato huu umesimamishwa na kama umesimamishwa utafunguliwa lini?
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Nahitaji kujuzwa lini vinatoka vyeti vya cba 2015...veta
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom