Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wadau naomba ufafanuzi mtu aliyesoma Masters of Arts in Kiswahili anaweza akaajirika katika sekta gani nyingine tofauti na uhadhiri wa somo husika.
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Habari wana JF kwa yeyote mwenye joining instruction ya KIBITI boys High school antumie hapa salum.engineer@gmail.com Thanks
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Wadau Mimi ni mkurufunzi katika moja ya chuo hapa nchini, nikifanya shahada yangu ya kwanza katika kitivo cha elimu iliyojikita zaidi kwenye utaalamu wa lugha ya kiingereza (BED ARTS-LINGUISTICS)...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
TAREHE 12/12/2016 WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA ILITANGAZA KUWA WAHITIMU WA STASHAHADA NA SHAHADA ZA UALIMU KATIKA MASOMO YA SAYANSI (FIZIKIA, KEMIA, BIOLOJIA) NA HISABATI WA MWAKA 2015...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
*TAARIFA KWA UMMA* *KUFUNGULIWA KWA MFUMO WA PAMOJA WA UDAHILI KWA KIPINDI CHA MACHI/APRILI, 2017 KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017* *Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), linapenda...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kama kuna m2 anafahamu wapi naweza kupeleka new theorems zangu za hesabu (new mathematical invention) zinazo husiana na topic ya complex number ili niweze kuzipublish kwani ni theorems...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Leo 23/01/2017 nacte walisema watafungua dirisha la udahili kwa ngazi ya cheti na diploma mpaka sasa hivi kwenye website yao hakuna jipya matangazo ni ya mwaka Jana tu na hata guide book hawajatoa...
1 Reactions
77 Replies
6K Views
TAARIFA KWA WALE WALIOAPPEAL MIKOPO Ndugu waheshimiwa viongozi,kufuatia uhakiki unaoendelea ktk bodi ya mikopo kuhusiana na wanafunzi walioappeal yafuatayo yamebainika. 1.Baadhi ya wanafunzi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu nianze salamu habari zenu!!! Kwa aliyesoma WDMI na yupo kazini au anayeifahamu vzur WDMI naomba anipe comparisons ya upotential wa diploma ya maji na BaED ya DUCE ipi jiwe na inatoa ajira...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Mdogo wangu anataka kusoma shahada ya elimu na matokeo yake haya hapa language E Kiswahili D history E , Je atapata chuo hapa nchini au vyuo vya East Africa?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu mi naomba msahada nataka kujiunga na chuo cha KCMC ili nisome diploma in nursing kwahiyo naomba msaada kama kuna mtu anafahamu tovuti yao au hata namba ya simu iliniweze kufanya utaratibu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu. Naomba kuulizia kituo kizuri cha kurisiti mtihani kwa maeneo hasa ya Mwanza au Geita. Kama unajua kituo kinachofaulisha naomba unijuze nataka nikarisiti mtihani.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nataka kujua kama nafasi za kujiunga na chuo cha pasiansi wildlife mwanza zimetoka au bado na kama zimetoka Naomba kujua sifa za mwombaji
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Unakuta Chuo kikuu kina sifa zifuatazo wakuu tusaidiane kina hadhi ya kutoa elimu ya Chuo kikuu. 1.Chuo kipo mjini katikati kimezungukwa na barabara kila upande...hivyo kuna makelele ya muziki...
5 Reactions
86 Replies
13K Views
Tunabishana hapa n watu w water quality laboratory wanasema wanaweza soma degree ya civil engineering kwenye vyuo kama dit,must,atc etc je ni kweli wadau, hapa chuo cha maji mm nna soma diploma of...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Kama wapo wanaosoma diploma in secondary education vyuo mbalimbali naomba tujuane na tujadiliane baadhi ya changamoto za usomaji zinazotukumba
0 Reactions
1 Replies
798 Views
Weka tafiti yako ya kijamii uliyoufanya hapa..Not necessary iwe ya kitaalamu sanaa..
0 Reactions
4 Replies
573 Views
Naomba kuuliza, hivi hapa Tanzania ni chuo gani kinatoa degree ya computer science and information security??
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu. Mimi nimeandaa Kitabu cha review kwa kidato cha pili lakini nimeshindwa kufanikiwa kuchapisha kitabu hicho kutokana na ukosefu wa fedha. Hivyo nimejitokeza kwenye ukurasa huu kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
What are the name for the term the prevent chemical reactions
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom