Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Naomba kujuzwa hivi nyayo za binadamu Wa kale zilitokeaje katika miamba
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu nilikuwa nahitaji kujua kama vyeti vya form 4 kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2015 kama vimeshatoka kwa sababu nataka kumchukulia mdogo wangu kutokana na kuwa nimepata...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu, Naomba kuuliza kuna uwezekano wa mtu kuhama chuo kwa kozi ile ile awapo mwaka wa pili???
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hivi ni kweli kwamba kwa mtanzania kujua lugha ya kiingereza ndo msomi au?
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Wanajamvi naombeni ushauri tafadhali, mimi nimesomea BSc with education kwa Masomo ya Chemistry na Biology, naombeni ushauri juu ya chuo kizuri, chenye ada nafuu ambacho kitaweza kunichukua...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Kamakichwa cha habar kinavyosomeka, kunandugu yangu amepotelewa na bahasha yenyevyeti ndaniyake,vyeti hivyo ni vya form four, cheti cha kuzaliwa, result slip ya diploma ya ualimu na living yale...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Hivi bado mnahakiki tu vyeti vya walimu wa Sayansi na Hisabati!? Mbona majina mnayo toka vyuoni. Kuweni wawazi kama mlivyokuwa wawazi kwa walimu wa sanaa! Waliumia sana lakini mtu amepewa ukweli...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ikifika mwezi may wahitimu wengi wanatoka vyuoni na kuingia mtaani kufanya idadi ya intake kuwa 3 bila ajira.! Karibuni tusote wote na tatizo la ajira wengine tushaisoma number then tunangoja...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wandugu Mimi ni nurse daraja la afsa muuguzi daraja la pili(RN) nipo wilaya ya iramba. Singida ...Natafuta Wakubadilishana nae kituo cha kazi atoke , ARUSHA IGUNGA, DODOMA...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Maana kwa taarifa za chini ya kapeti kuwa bado wana shughulikia walimu walio jiendeleza wa cheti na kupata diploma na degree ,kuamishiwa sec school ndio waangalie wanapelea kwa kiwango kipi ndio...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimepita chuo cha Udom Leo nilikuwa na mishe zangu, dah nilikuta pale main administration. Scene ya ajabu sana yani mwanafunzi aliingia akiwa amevaa yale masuruali mapanaa jamani, kuna wadada pale...
6 Reactions
154 Replies
16K Views
habari mie naomba kujua hii mikopo ina aslimia ngapi ya riba, isiwe tunashangilia kuipata wakati wa kulipa tukalia, kwa mfano umekopeshwa million 4 utalipa million ngapi?
0 Reactions
20 Replies
7K Views
habarini wakuu naombeni msaada mnifafanulie kiundani kuhusiana na geological time scale
0 Reactions
0 Replies
708 Views
Wakuu kama umesoma sehemu yoyote kati ya hizo nilizoainisha hapo juu tutambuane tafadhali tukumbushane yaliyopita na pia wanafunzi wa udaktari tutambuane tupige story tujengane kimawazo
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Naomba msaada wakipita mobile dictionary yenye pronounction
1 Reactions
0 Replies
719 Views
Habar ya majukumu, naomba kwa mwanachuo yoyote anaesoma chuo kikuu cha dsm UD course ya Public admnistration namwomba tafadhali ninashida. Mwaka wa kwanza wa pili au wa tatu, Pm
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Vipi humu!! Kwa wale ambao Mungu alitupa kibali kusoma masomo ya sekondari (o.level na a.level) kwa somo la geography mtakubaliana nami kuwa hili somo unaweza kuliona simple sana, tena paper zake...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Habarini za asubuhi waungwana! Ninaomba ufafanuzi kuhusu utofauti kati ya PAPER-BASED AND INTERNET-BASED TOEFL TEST kwa yeyote anayejua. natakiwa nifanye test hiyo na nimeambiwa nichague kati ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jamvi naomba msaada kwa yeyote anayefahamu mahali ninapoweza kuchukua mafunzo kwa ajili ya kujiandalia mtihani wa TOEFL kwa Dar es salaam anijuze.
0 Reactions
1 Replies
922 Views
Mm mwl.Sekondari,naomba kubadilishana kituo cha kazi toka mbozi.to..Tukuyu,ukiwa tayari simu..0757658783
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom